Manchester United (Red Devils) | Special Thread

bayern kama Juve wanazo hizo strategy ila pia wanachukua mastaa vile vile hata kama hawafit mifumo yao, ni timu inayobalance biashara na soka. wana Flop wao kina Renato sanchez, gotze, podolski, Benatia etc
 

Nimefurahishwa na usajili wao si kwamba nawashangaa hapana mbinu wanazotumia zinafurahisha sana
 
Man United are closing on Edinson Cavani deal!
Agreement reached on personal terms until 2022.
Last details to be sorted about agents fee [huge amount - €10m asked] then the deal will be done.
#MUFC see Cavani as “great opportunity”.
Here we go expected soon. NO Luka Jovic
 
Leeds...... naahidi kuwaunga mkono msimu huu...Wachezaji wote wanapambana uwanjani....beki zinachezea mpira na kuziba hatari...winger zao mbili, jezi no 20 na no 7 ni kipengere japo wote wametokea benchi game na City leo...Wako technical...pass murua za visigino....hadi Uzi wao mweupe swaafi kabisa....Isipoharibu hii team itanipunguzia stress za Ole guna na Deadwood wake
 
Already deal done mkuu..2 years contract.,
 
Kwamba mshabiki wa Man U anaiunga Mkono leeds?
 
radika,

Ni kweli Bayern na wao wanachanganya kibiashara na kimkakati ktk kusajili ila mfumo wa kimkakati ndio una nguvu zaidi maana huu unalenga zaidi kujenga timu hata Fergie alifanya hivi pia kipindi tukiwa wa moto sana. Jaribu kuiangalia Manchester United iliyokuwa chini ya Peter Kenyon na David Gill as our football executives ndio utagundua Bayern na Liverpool wanatumia mbinu walizokuwa wanatumia hawa mafundi wawili. Tulikuwa tunasajili wachezaji wa kawaida kabisa wasio na majina ila walikuwa wanageuka kuwa ma-legendary. Unajua ni kwa nn? Ni kwa ssb tuliangalia mahitaji zaidi ya timu yetu na sio usajili wa kibiashara.

Kwa Ed Woodward sasa hivi huyu mzembe anaamini pesa ndio kila kitu. Unapokuwa na Chief Executive anayeamini pesa ndio suluhu ya kila kitu ni hatari sana. Kwa mahala Manchester United ilipo kwa sasa hatuhitaji majina makubwa uwanjani ila tunahitaji watu walio-smart ku-assemble talents pamoja kuleta matokeo uwanjani (well coordinated scouting teams vs coaching staffs). Kuna muda una-fix matatizo kimipango na sio kibiashara zaidi, in long-run pesa itakuja tukianza kufanya vizuri uwanjani. Mbinu za Ed ktk kuiendesha timu yetu ni za kitoto sana. Anapaka rangi nyumba kwa rangi za gharama sana ili hali ndani kuna vuja.
 
Cavani and his agents will be in UK tomorrow to complete the agreement on agents fee [€10m asked].
Personal terms ok until June 2022.
Here we go’ expected tomorrow to finalize agreement > complete medicals.
#MUFC
 
Mkuu mshabiki anabaki shabiki,,,mpenzi wa soka ndy anapenda timu yeyote anayovutiwa nayo...hata Norwich city
Mkuu mimi ni mfuasi na shabiki kindakindaki wa Manchester United. Nina jezi za kina York, Cantona, Beckham na Vernistrooy hadi leo kabatini...Sharp, Vodafone, Aon, AIG..nk.Nimeisifia Leeds kwa ubora wao katika kipindi ambacho team yangu inavurugwa na wapuuzi kadhaa pale kwenye uongozi. Hii ni sawa na kuvutiwa na mchepuko kwa upuuzi wa mke wa ndani, which is normal for a complete MAN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…