Thats wht iam talking about...i cant wait for that to happen,,we need a new striker.. We need a good finisher,,natural no 9...
Man Utd ina rundo la mascout dunia nzima.
Ina maana wote akili zao zimegota kwa Sancho?
Dunia nzima?, ligi zote tumekosa mbadala wa Sancho?
€100M ni hela nyingi sana kwa mchezaji mmoja ambaye atakuja kuwa sawa na wakina Martial na Rashford.
Hapa tunakuja kupigwa tena kama Maguire. Sancho hana hadhi ya kutolewa hiyo hela.View attachment 1584989
Unaona sasa?
Bissaka si amekuja juzi tu? Leo tunasajili mbadala kisa ameshindwa kufit eneo hilo. Bruno nae akiwa flop? Tutamsajili mbadala? Pogba je?
Hapo kosa la nani mchezaji kuja akiwa mzuri na kuflop baada ya msimu mmoja?
Hoja yangu ni kwamba, kwa hiyo hela, tunaweza sajili wachezaji wa kuziba nafasi zote muhimu tunazotaka kuziziba msimu huu.Mkuu kwa uongozi wa sasa wa Man utd usije ukawaonea huruma kabosa kwenye usajili wa gharama,mara 100 tunune sababu wakina glazer wanazila tu izo hela,wale jamaa hawapo kwa ajili yetu kabisa
CAVAN,
Tutamtandika hataamini.Mourihno huwa ananichekesha sana..Jana wakati anahojiwa baada ya mechi ya chelsea alisema"On sunday we have a big work against super team(Man United) which is favourite to win the premier league"
Unaona sasa?
Bissaka si amekuja juzi tu? Leo tunasajili mbadala kisa ameshindwa kufit eneo hilo. Bruno nae akiwa flop? Tutamsajili mbadala? Pogba je?
Hapo kosa la nani mchezaji kuja akiwa mzuri na kuflop baada ya msimu mmoja?
Mkuu ww huwa unalalamika mnoo cjajua ni kwanini kiongozi, wote tunalalamika ila kwa kiasi mkuu.Man Utd ina rundo la mascout dunia nzima.
Ina maana wote akili zao zimegota kwa Sancho?
Dunia nzima?, ligi zote tumekosa mbadala wa Sancho?
€100M ni hela nyingi sana kwa mchezaji mmoja ambaye atakuja kuwa sawa na wakina Martial na Rashford.
Hapa tunakuja kupigwa tena kama Maguire. Sancho hana hadhi ya kutolewa hiyo hela.View attachment 1584989
Nani kamwambiya ni majeruhi?cavani amepata changamoto kwenye first eleven baada ya ujio wa Icard na Neymar..CAVAN,
Age 34yrs.
Injury prone
Big wages.
Kweli kabisa mkuuHoja yangu ni kwamba, kwa hiyo hela, tunaweza sajili wachezaji wa kuziba nafasi zote muhimu tunazotaka kuziziba msimu huu.
LB, RW, Striker, RB, CD wote unawapata kwa hiyo hela. Na timu ikaziba mapengo yote.
Darmian,
Ubingwa kumpa Liverpool bado mapema sana, japo ndio timu pekee katika kubwa walio serious zaidi. Mechi mbili zijazo kwa Liverpool zinaweza kuwapandisha morali au kuwashusha. Mechi ijayo wataenda Villa Park kucheza na Aston Villa hawa ni sawa na farasi mweusi asiye angaliwa na wengi kwa hiyo hawachezi kwa presha ila kiukweli wapo moto sana, wamecheza mechi nne msimu huu wameshinda zote ya mwisho walimfunga Wolves kwake 3 bila.
Baada ya Aston Villa wataenda mji wa Walton pale pale Liverpool kucheza na Everton, kwa form ya sasa ya Everton wakishinda pale Goodison Park basi Liverpool confidence yao inaweza kuwa juu mno ktk mbio za ubingwa ila wakianza kwa kufungwa inaweza kubadili hali yao ya kujiamini pia.
Pia umezungumzia kuhusu sajili zao, Liverpool ya sasa ina watu wa mipango na mikakati huwa wanajirekebisha kila wanapoona panahitaji kufanyiwa ukarabati wakiingia sokoni ujue ni very strategic move na sio kutuliza fujo za mashabiki wapo kimkakati zaidi.
Bodi yao ina akina Kenny Daglish anajua nini maana ya kumpa mwalimu nyenzo zake kwa wakati, yeye mwenyewe pia ni mwalimu wa mpira. Halafu changanya na Michael Edwards huyu ndiye master mind wa sajili nyingi sana za kimkakati ni director of football ila career yake kafanya sana kama perfomance analyst hata kipindi wanamsajili Mo Salah watu wengi waliaamini atashindwa kama awali alipokuwa na Chelsea.
Kwa kifupi, Liverpool ya sasa inaendeshwa na watu ambao career zao ni za mambo ya mpira sana. Hawafanyi sajili za kuuza jezi ila wanafanya sajili za kuleta mabadiliko zaidi uwanjani.
Kwahiyo unatakaje?Mkuu ww huwa unalalamika mnoo cjajua ni kwanini kiongozi, wote tunalalamika ila kwa kiasi mkuu.
Nilisema hana thamani hiyo nikaambiwa nitulie maswala ya ukoo hayanihusu. Naona mwanaukoo mwenzao umegutuka kua kuna transfers zinafanywa halafu ni za viazi.Man Utd ina rundo la mascout dunia nzima.
Ina maana wote akili zao zimegota kwa Sancho?
Dunia nzima?, ligi zote tumekosa mbadala wa Sancho?
€100M ni hela nyingi sana kwa mchezaji mmoja ambaye atakuja kuwa sawa na wakina Martial na Rashford.
Hapa tunakuja kupigwa tena kama Maguire. Sancho hana hadhi ya kutolewa hiyo hela.View attachment 1584989