Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Serbia huko beki zipo kibao, tena bei rahisi.
 
Mechi ya kwanza maneno yamekuwa mengi hivi.
Sioni sababu ya kumlaum Ole wala wachezaji kwani ligi ndo kwanza imeanza.
Eti arsenal nao wanaisema man u, Arsenal acheni vituko.
Man u ndo tm ya dunia kwn hujui? Jana uwanja ulijaa utadhani man u vs Barcelona
 
Louis Van Gaal alisema

"Bayern ina CEO na watendaji ambao ni watu wa mpira, wanajua nini ni nini ila Manchester CEO alikua ni mwekezaji benki unaweza ona kwanini usajili hauchukuliwi serious"

Hapo Van Gaal alikua ni mhanga mwingine. Moyes alimsajili Fellaini ambaye miezi kadhaa mbele alikua anaenda kua free agent na market value ikiwa ni 23M ila bodi (Woodward) ikalipa 27M kumpata Fellaini.

Mourinho akaja na kutaka wachezaji 5. Kati ya hao 5 aliletewa Fred tu, kisha akasema anamtaka Maguire bodi (Woodward) akasema Maguire ni ghali sana kwa pesa iliyotajwa na kiwango chake hivyo waachane naye.

Otea ni beki gani amekuja kua ghali kuliko wote duniani....

So Mourinho akapigwa chini huku analalamika juu ya usajili. Kaja Ole, akauza striker akasema ana Rashford na Martial, hali ikawa mbaya wakafanya usajili kwa kupaniki wakamsajili Ighalo.

Familia ya Ighalo ilifanya sherehe baada ya kujua Ighalo kaenda Man U.

Kisha wakati wa usajili umefika timu inatafuta mabeki, wingers na viungo hakuna sehemu waliyosema wanahitaji striker ila kama kawaida mwisho wa yote lawama zitakuja kwa kocha na atatimuliwa aje mwingine.

System ya Man U ipo designed kufukuza makocha, tatizo la kweli ni kutokua na DOF nafasi ambayo Woodward aliifuta hiyo nafasi na kujikaimisha yeye. Na akasema hawana mpango wa kuajiri DOF.

Hii timu morali ipo chini, hili tatizo tulikumbwa nalo Arsenal chini ya Emery. Watu hawajielewi wanazomewa hawajiamini yaani vururu vururu naona Man U inapita same route na tayari hata mashabiki baadhi wanaamini Ole ana matatizo.

The system.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…