NI MECHI YA KWANZA NA MSIMU NI KAMA UMEISHA..
Unajua muda mwingine tuwe wakweli kabisa.."HII KAZI NI KUBWA KWA OLE"..Ole ana matatizo kibao na kimbinu hajaweza kutufanya tuonekana kama ile United tuliyoizoea ikiwa kwenye ubora wake kipindi cha Fergie..Good thing ni kwamba huu msimu hamna kisingizio,,timu inajipigia vipasi uchwara tu muda wote
°°°Kuna watu wanasema hatuna timu kabisa[Who do you want to add in that squad to beat Palace?,Lewandowski?],hakuna krosi za maana zilizopigwa au nafasi kali zilizotengenezwa na viungo hata ukiwa na world class straika bado atapoteana...Too predictable
Sikatai tunahitaji;
✓RW
✓CB
✓Straika
✓LB Backup
Lakini bado kwa kikosi tulichonacho ilibidi lipigwe mbungi la kueleweka..Arsenal wanacheza pattern zinaonekana kabisa,sisi tumeshindwaje?..Arsenal wana kikosi bora kutushinda?
"""Ole kapoteza nusu fainali tatu kwa msimu mmoja,na kashindwa kabisa ku-manage gemu ndogo tu zenye tension"""This worry me
==============
Tuongee kuhusu hawa wachezaji;
Scott McTominay===Hatakuwa mchezaji bora kwetu ni mchezaji mwenye quality ndogo sana kumiliki dimba la kati,na kama Ole ameanza ujinga wake wa kumuacha Matic nje,basi we are in big trouble..Fred anaweza kucheza vizuri kushinda yeye Bigtime
Lindelof===What a softshit??...Watu wanasema Maguire ni mbovu kushinda Lindelof..serious?..huyu jamaa mlaini na mweupe sana..Hata Smalling hawezi kucheza vile..Tunahitaji CB
Rashford====Sioni ukuaji,nachoona kwake ni mchezaji ambaye kwa kipindi kirefu anakuwa out of form na naamini anakuwa anazidiwa hata na foward ya Engish Championship huko
Bruno+Pogba===Bado hamna kitu,,Yaani tangu Pogba ameanza kucheza na Bruno tumekuwa utopolo zaidi na haya mambo Ole
ni kama hayashughulikii
/////////
Tumetumia zaidi ya £800m toka Fergie aondoke zake lakini we aren't go no where..
Makocha pia wametuangusha sana,wamepewa wachezaji lakini pia wameshindwa kuwafanya wawe bora..leaving aside mambo ya kuletewa wrong choices