Huyu Alex telles ni bonge la LB ila kuja United haiwezekani hata kidogo labda maajabu ya YESU. Sancho,Thiago, Regulion, nafikiri tunakumbuka vizuri walikubaliana ila hakuna lolote lililotokea. Huyo haji united ila ataenda PSG. Maana bodi haitampa Pesa Ole akasajii.