John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Ama kweli binadamu ni wepesi kusahau....aisee umesahau hawa ndo waliwapa kiminyo mwanzo mwanzoni mwa ligi goli 2-1Crystal Palace ni timu ambayo mtu unaweza ukaiwazia makubwa halafu kitakachotokea utashangaa wao pia wanajiona kama spesho fulani hivi.
Man U atakua na game ngumu akicheza na Everton kuliko Crystal Palace. Palace sioni akishinda siyo kwakua Man U ni nzuri sana ila kwakua Palace ni ile ile inayopokeaga bakora za Man U huku Man U wakiwa wamejitanua kidogo.
Na umeona mi nimeongea kwa kuangalia past? New Castle aliifunga Man U moja bila walivyorudiana uliona nini kimetokea?Ama kweli binadamu ni wepesi kusahau....aisee umesahau hawa ndo waliwapa kiminyo mwanzo mwanzoni mwa ligi goli 2-1
Ndicho kinachotakiwa kufanywa na OGS msimu huuOle anatakiwa kuonesha uwezo wake msimu huu.
Mambo ya rebuilding yameshapitwa na wakati.
Haaaahaaaa We unavyosema "palace ni ileile inayopokea bakora kila siku" unafikiri tumeelewaje unamaanisha nn...kwamba kila mkikutana nao ni kama shamba LA bibi mnajichotea points 3 sio....Na umeona mi nimeongea kwa kuangalia past? New Castle aliifunga Man U moja bila walivyorudiana uliona nini kimetokea?
Mimi nimeangalia usajili wa Man U, Everton na Crystal Palace kisha nikaangalia games za Everton na Crystal palace. Ugumu wa game na idadi ya magoli.
Wewe unaleta stori za hapo zamani za kale
Bayern inaonekana sio tu klabu bora ila ni shule bora ya soka..wanaongozwa na watu wa mpira tu...tofaut na utdBayern Munich wanapenda sifa sana, huyu Serge Gnabry alikuwa fala fala pale West Bromwich kipindi cha Tony Pullis ila sasa hivi moto wake ni wa kuotea mbali. Naamini hata Marcus na Anthony wanaweza ku-transform kuwa more lethal kama huyu jamaa.
Yapo yanayowezekana ila siyo hilo uliloandika.Binafsi naamini msimu huu tuna uwezo mkubwa sana wa kubeba kombe. Ho
Nilitamani sana huyu dogo aje aharakishe safari ya Axel Tuanzebe.★Teden Mengi has officially been promoted to the senior #mufc squad.★
#GGMU
manutd | View attachment 1573819
Huyu dogo siyo mtanzania kweli ?★Teden Mengi has officially been promoted to the senior #mufc squad.★
#GGMU
manutd | View attachment 1573819
Cc tumelala sn angelikuwa ana asili ya Nigeria or Ghana et al., lazima ungesikia lkn huyo mchaga huyo.Huyu dogo siyo mtanzania kweli ?
Huyu dogo siyo mtanzania kweli ?
Amekanusha Mwenyewe kuwa Ana roots za Nigeria, maana wale jamaa walishachukua Credit.Cc tumelala sn angelikuwa ana asili ya Nigeria or Ghana et al., lazima ungesikia lkn huyo mchaga huyo.
Pia mimi nashabikia Arsenal...Haaaahaaaa We unavyosema "palace ni ileile inayopokea bakora kila siku" unafikiri tumeelewaje unamaanisha nn...kwamba kila mkikutana nao ni kama shamba LA bibi mnajichotea points 3 sio....
Ni bonge la LB, amekamilika kila idara; defending, shooting, pace, dribbling, passing & physically fit.
Huyu Telles nilikua sijamuangalia, kumbe bonge la Mtu, atatupa option nyengine kushoto, full back ambaye sio mfupi.
Hapo kwenye transfer ndo panapowashinda man u we subiri uone mkuu.
Huyu Telles nilikua sijamuangalia, kumbe bonge la Mtu, atatupa option nyengine kushoto, full back ambaye sio mfupi.
Keshasaini au ndio story za vijiweni?
Huyu Telles nilikua sijamuangalia, kumbe bonge la Mtu, atatupa option nyengine kushoto, full back ambaye sio mfupi.