Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wapinzani wanavyoona tunamkosoa Maguire au Bissaka basi wanadhani ni wabovu kiivyo kumbe cvyo, lkn ukweli wanaujua but wanachotaka man u iwa suck hao wachezaji zen waanze kukashifu, mfano Lukaku wapinzani waliongoza kwa kumsema vby leo hii ameondoshwa hao hao wanakuja kutucheka eti tumemfukuza fundi, huwa nacheka sn
 
The best 007,

Binafsi namuona Harry ni kama bonge la beki wa kati ambaye tumempata toka aondoke Nemanja Vidic na Rio Ferdinand kwa miaka hii ya karibuni na hata kwa timu yao ya taifa ya Uingereza yeye ndiye beki wa maana wa kati waliye naye.

Mapungufu pekee ya Harry hachezi ku-dorminate kama kiongozi uwanjani angalia jinsi mtu kama Nemanja au Rio au John Terry utaona walikuwa wanacheza with authority yaani ukiwa unacheza nao uwanjani unaogopa kufanya kosa la kijinga jinga. Harry ana-drive timu vizuri toka nyuma ila hachezi kama kiongozi labla kwa sababu alikuwa bado mgeni, maana kapewa uongozi msimu wake wa kwanza. Kama atabadilika ataanza kuwa mkali na kuwapanga wenzie uwanjani basi hofu yangu itapungua.

Kuna muda unapaswa kumuita hata mchezaji wako unamuonya aache upuuzi pale anapoigharimu timu huwa watu wanacheza kwa hofu wakijua kuna mtu humo ndani anawaangalia.
 
Huwa nashangaa Sana kusikia Carra16 alikuwa mchezaji wa kawaida
 
Hata carik bado sikubaliani kwamba alikuwa mchezaji wa kawaida...
Ikuwa na vitu vyote,,hapotezi mipira kizembe,,anakaba,,anapokonya mipira adui,,anapiga pasi zenye macho,,tena upande mmoja kwenda mwingine,,kama Paulo schoals,,
Manchester hatuhitaji wachezaji wenye mambo mengi uwanjani,,,,,tunahitaji wapambanaji ,,,,pasi moja,,mbili mpira golini kwao..
Ndy maana timu pinzani waliogopa kuja old Trafford kutokana na style ya mpira wetu....sio man u ya sasa Mkuu..
 
Nimeona telegraph wanasema Ole anamtaka Dayot Upamecano ndo aanze ku-offload CB garasa..Let's wait tuone kama hii story itadevelop kwenye reliable sources zaidi
 
Tuache perepeche ligi inaanza tutajionea kama amejirekebisha
 
Wakuu habari..its been a while..pweh!!

Naona VAN DE BEEK anafanya medical mida hii(kulingana na Fabrizio Romano)

Binafsi simjui vizuri huyu mchezji lkn nimengalia Clips Youtube naona ni attack minded midfield..na anacheza sn upande wa kulia..maybe atakuwa deployed kama RW km tukimkosa sancho..Maybe!!!
 
Ni back up nzuri for pogba na bruno incase of injury, tiredness,rotation etc...
I have the feeling ni Herrera aliyeboreshwa.Martial ajiandae kufunga magoli mepesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…