Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Wewe kenge hivi unajua Cheltako haina uwanja ila mmekodi?Huu ni ukweli kabisa, unanunua timu nzima ya Arse8 na benchi la ufundi pamoja na uwanja wao.
Wewe kenge hivi unajua Cheltako haina uwanja ila mmekodi?
Unajua cheltako imeanzishwa mwaka 2005?
Kikosi cha ku-compete na kutupa matokeo kipo ila ili upate mafanikio zaidi katika msimu wa soka unahitaji kuwa na squad depth na consistency. Kitu ambacho United hamna.Msimu huu man u hawasajili. Ila mpira huwa una maajabu , tusishangae kuona Man u ikija na moto wa ajabu kwenye ligi kwa kikosi hicho walichonacho
Brooks uliyekuwa unampigia chapuo kuja United vipi?Kikosi cha ku-compete na kutupa matokeo kipo ila ili upate mafanikio zaidi katika msimu wa soka unahitaji kuwa na squad depth na consistency. Kitu ambacho United hamna.
Ukimtoa Martial hakuna Striker mwingine tunayemtegemea kuipa timu ushindi.
Pogba now ana Corona, Bruno ataanza kwa kasi ila kutokana na mashindano mengi atahitaji msaada. Hakuna option nyingine kufikia viwango vya Bruno kwenye kiungo zaidi ya Pogba ambaye hatujui atapona lini.
James ni squad player, Greenwood ameonyesha uwezo mkubwa katika nafasi ya winga lakini kwa umri wake sidhani kama ana uwezo wa kutoboa msimu mzima katika kiwango kilekile. Ukizingatia sasa hivi ameitwa timu ya taifa.
Rashford ndio huyo leo atakufurahisha kesho atakukera, no consistency btn games and games.
Manchester United ina timu nzuri ila ya kupambania ubingwa wa ligi bado tunahitaji watu zaidi.
Kama kawaida na yeye ameishia kuvalishwa jezi kama Sancho.Brooks uliyekuwa unampigia chapuo kuja United vipi?
United hata kwenye media imezima kabisa kwa hizi wiki mbili sijui ni kwanini .Utd inazingua Sana !
May be tusubiri deadline,,,, japo napenda usajili mapema ili pre season waweze kutengeneza walau chemistry flani !
#GGM
van de beek atasajiliwa siku ya deadline.Hivi tuna sajili lini !.