Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ole Gunnar Solksjaer this seasonWenzake wanamsikiliza, wanaona timu ndiyo hii, wamemaliza ligi wakiwa top 10. Sasa anawaambia hawakamatiki and blah blah blah hata pre season bado.
Kwn odion keshasajili permanent contract.OGS alikuwa na hiyo nafasi akaona Ighalo kutoka China anamfaa akamsajili kwa mkopo then permanent
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Edni Dzeko si anaelekea mwisho wa career yake mkuu?PTER,
Kwanini asiwe Dries Mertens au Raul Jimenez?
Nimemchagua Edin Dzeko kwa sababu namuona kama ni mshambuliaji mzoefu aliye sawa kwa sasa na anaweza kupatikana. Pia Edin ni mshindi, ni mchezaji anayeweza kucheza mahala penye pressure na panapohitaji makombe.
Edin, pia anaweza kuwa mwalimu wa hawa wapuuzi wawili (Marcus Rashford & Anthony Martial). Sioni kama tunaweza kuwa-offload tumejifunga nao kimikataba, so the best way forward ni kuwa-train tu wawe wazuri japokuwa so far sina imani nao tena tumewapa nafasi ila wametuangusha wana ujinga mwingi sana.
Hofu yangu kubwa sana watamfundisha hata Mason Greenwood kuwa mchezaji average kama wao. Kijana bado ana umri mdogo (18) anajifunza kutoka kwa wakubwa wake, kama una wakubwa wapumbavu ni kheri umtafute mkubwa mwenye akili ili aje kuwa role model kwa kijana huku akitusaidia ku-buy time muda tunatafuta mbadala wa kueleweka.
Kaongezewa contract mpaka January.Kwn odion keshasajili permanent contract.
Mkuu umeongea ukweli ila kuna baadhi ya watu watabisha, kikosi cha Man Utd kwa sasa kinapaswa kiweze kupigania kombe kwa sasa.Huu si uwekezaji mdogo
Maguire
Bissaka
Bruno
Sanchez
James
Watangulizi wake waliwaleta
Pogba
Fred
Martial
Lindelof
Matic
Belly
Luke
Anweza fika misimu 10 kila mchezaji anyesajili anashindwa kumtumia na washabiki wakaendelea kumba apewe wachezaji anaowataka.
Huwezi kuwa na Watu aina ya Pogba-Martial-Bruno-Rash-Fred ukashinda kudeliver than ukalalamikia usajili.
Kocha ameshindwa kuwatumia hao wachezaji! Nothing else.
Kumbuka huyo mtangulizi wake(morinyo) alitupa
.Fa
.Europa
.Community shield.
Lakini akaondoka kabla hata hajapewa wachezaji ANAOWATAKA..
Morinyo hakumtaka LINDERLOF wala FRED ila WOODWARD alimkazia..
Hii timu inajiua yenyewe..
Wakati mwingine tunamtetea ogs akiwa anafanya makosa ya wazi kabisa.OGS alikuwa na hiyo nafasi akaona Ighalo kutoka China anamfaa akamsajili kwa mkopo then permanent
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Jana nilimlaumu sn ogs cz tm ilionekana imechoka kipindi fulani akagoma kufanya sub mapema Rashford alikuwa anakosea most of the time but akamtoa dk ya 87s wkt mwngne naona km ogs alifanya kusudi ili tm ifungwe Woodward amalizane na BVB mapema kuhusu Sancho.Wakati mwingine tunamtetea ogs akiwa anafanya makosa ya wazi kabisa.
Hii hela tunayoishupalia inaenda mifukoni mwa akina Glazers, kwanini tunajinyima halafu faida wanakula wao?
Kule kwetu lawama zote tunamtupia aronHizi timu zetu ni shida, maana timu ikiwa inaharibu tunaona kama baadhi ya washabiki wenzetu ndo wanasababisha.
Wewe jamaa unajua aiseeeThe best 007,
Just imagine vilaza kama hawa wawili (Marcus Rashford & Anthony Martial) tunawalipa zaidi ya $200k/weekly. Je tunaweza ku-accommodate kipaji kingine cha kueleweka bila kudai mshahara mkubwa?
Kuna vitu vingi sana behind the scenes vinafanya timu kubwa kama Manchester kujaza wachezaji wasio na sifa za kucheza timu yetu, mojawapo ni timu kushindwa kuwa na wachezaji wengi wazuri kwa wakati mmoja tayari watu wanatuona kama sisi prime target ya kupigwa pesa sio mishahara wala bei za kununulia. Wanajua timu inaongozwa na mtu mwenye uwezo mdogo ni rahisi kumpiga pesa hasa hasa akipewa pressure na mashabiki.
Amini hii kauli yangu, Jadon Sancho tutamsajili ila tutapigwa pesa. Borussia wana-delay hili dili wanajua fika wana-negotiate na mtu average kichwani wanasubiri muda sahihi tu to rip him off, same tactics tulizofanyiwa kwa Harry Maguire . Na tutamlipa mshahara zaidi ya $250k/weekly.
Kweli kabisa mkuu mm mwenyewe co fan wa wachezaji wa kiingereza cz wana makosa mengi mno ndani ya uwanja.Tangu mwanzo nimekuwa nikiamini kuwa waingereza ndani ya united ndio kansa yenyewe. Angalia kuanzia mishahara yao,mikataba yao mirefu,back up wanayopata kutoka kwenye media za nyumbani,hawafanyiwi subs pindi wanapokuwa off na la muhimu kabisa hawana ufundi ndani ya uwanja.
Wakati mwingine naombea huyu Sancho naye deal lake life tupate talent ya America ya kusini au ulaya mashariki tutapona huu ujinga unaoendelea hapa
Kule kwetu lawama zote tunamtupia aron
Auba contract extension doneAaron hafanyi usajiri inavyotakiwa!
Auba contract extension done
Willian deal done
Magalhaes 90%
Partey 80%
Dzeko mzungu Ighalo mwafrikaEdni Dzeko si anaelekea mwisho wa career yake mkuu?
Kwani Ighalo na Edin Dzeko wanatofautiana nini kikubwa sana cha kumfanya Dzeko awe special?
Kwanini tuendelee kubet kwenye usajili wachezaji wa kusajili wapo sokoni ?Dzeko mzungu Ighalo mwafrika