Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Kunawakati mpira una amriwa na bahati, Timu imecheza vizuri imepata nafasi nyingi ila bahati aikua kwa man u.sevilla wamecheza kiasi ila bahati ilikua upande wao.
Labda Mimi ndo sifahamu.
Mbinu zikifeli ni watu kukosa Magoli ya wazi?
Huu ni uzembe wa wachezaji, hata awe kocha Yesu Leo tungefungwa tu.
Asa nafasi zote zile kina martial wanakosa tunataka nini tena?
mi nilisema hii timu huwa inashinda kwa mizuka tu ya wachezaji siku wakifurahi wanaupiga siku wakivurugwa ndo kama hivi.
Mi sijui tunacheza mpira wa aina gani kwakweli Ole hawezi kuipa hii timu hata kombe la carling hana huo uwezo ni hovyoo kabisa wahedii.
Tusubiri EPL sasa na mambo yatakua kama haya tu sioni mapya hata kidogo yanayokuja acha nilale nimestream sijui GB ngapi zimekata.