alikua jembe sana, Ronaldinho alimwambia anaenda Man Utd, akaamua na yeye atangulie, baadae Dinho akaenda Barca, akaanza kuzingua zingua united, kifupi hakuonesha potential yake alivyokuwa man Utd.
Hivi Scot siyo DM ?kiungo mkabaji priority ya pili baada ya winga wa kulia, tuna midfled/attacking midfield 7 na mkabaji mmoja tu.
★haun haja hata ya kumjua maana jamaa alikuwa Brazilian na alichezaga misimu miwili tu kwa ninavyokumbuka sizani kama alicheza hata mechi 35 ila mechi nilizoonaga alifunga Goli 2 mechi tofauti,jamaa alikuta kikosi kipo nondo na yeye hakuonyeshaga juhudi za kupambania nafasi baada ya msimu wa 2004/2005 kuisha aliuzwa tu timu hata sikumbuki majina ya hivyo vitimu★
Best position yake Ni Central midfield, anacheza Defensive ama attacking midfield pia sema hawi effective kama MC. Ni kama Fletcher vile.Hivi Scot siyo DM ?
Mimi huwa naona Pogba na Fred wakicheza pamoja huwa midfield inakuwa shake kidogo.Best position yake Ni Central midfield, anacheza Defensive ama attacking midfield pia sema hawi effective kama MC. Ni kama Fletcher vile.
Sahihi mkuu, sababu wote Fred na Mc tominay ni Central midfield wanaojua kukaba hivyo power ya wawili inatimiza Jukumu la ukabaji.Mimi huwa naona Pogba na Fred wakicheza pamoja huwa midfield inakuwa shake kidogo.
Fred na Scot huwa wanafanya vizuri sana defensively ila kwenye attacking huwa wako poor kidogo hasa kutokana na nature wote ni kama holding midfielder.
Fred Matic wanacheza vizuri case study game yetu na Man city 2-0 na game yetu na Chelsea ile ya 2-0.
Pogba Matic huwa wanakuwa vizuri sana defensively na kwenye attack sema niliwashuhudia mechi chache za mwanzo wa msimu.
Physicality ya Scot huwa inawacomplement vizuri sana Pogba na Fred anapocheza nao hasa ukizingatia work rate yake ni kubwa sana.
Kwani Solkjaer akiamua kucheza 4 4 2 diamond hawezi kuwa accommodate 2 DM mbele yao CM1 na CAM1 kama anavyofanya Diego Simione ?Sahihi mkuu, sababu wote Fred na Mc tominay ni Central midfield wanaojua kukaba hivyo power ya wawili inatimiza Jukumu la ukabaji.
Ila mmoja wao akipewa jukumu la kukaba na pogba na bruno kushambulia tunakuwa hatuchezi vizuri, Matic role hio anaiweza kuwalinda Pogba na Bruno.
Hapo ndio unaona uhitaji wa Dm tukiendelea kucheza na Viungo washambuliaji wawili
Inawezekana mkuu, na kuna mechi anatumia Almost mfumo huo 4-3-1-2 badala ya Diamond wale wa kati wanarudi nyuma.Kwani Solkjaer akiamua kucheza 4 4 2 diamond hawezi kuwa accommodate 2 DM mbele yao CM1 na CAM1 kama anavyofanya Diego Simione ?
Hapo sawa ndiyo maana nasema recruitment yetu tuzingatie kwenye kuimarisha striking force yetu.Inawezekana mkuu, na kuna mechi anatumia Almost mfumo huo 4-3-1-2 badala ya Diamond wale wa kati wanarudi nyuma.
Tatizo kubwa la kutocheza mifumo mingi kwa sasa ni wachezaji ambao wapo comfortable kucheza Kulia, Ukitoa Bissaka wengine tunaforce force tu, kama sasa hivi tunavyomchezesha pogba.
Tuna Uhaba sana wa wachezaji wa kulia ndio maana hata baadhi ya mashabiki wanataka Dm anaejua kucheza kulia.
kama Sancho anakuja inamaana mbele anakuwa Rashford, martial na Sancho then Backup James, Greenwood na Ighalo. muhimu mkuu ni huko Kulia, tukipata magoli toka kulia, kushoto na kati hata mmoja akiumia inakuwa sio pigo sana.Hapo sawa ndiyo maana nasema recruitment yetu tuzingatie kwenye kuimarisha striking force yetu.
Hatuna Back up nzuri ya Rashford na hatuna back up ya Martial.
Hawa miamba wawili wakipata injury au kuwa off form tunastruggle sana kupata magoli.
Tunahitaji back up ya uhakika sana kwenye striking force kuliko huku kwenye midfield ambako kila position ina mchezaji zaidi ya mmoja hadi wachezaji wa academy.
Pochetino msimu uliopita isingekuwa na Llorente angestrugle sana lakini alimsaidia kipindi Harry Kane akiwa na majeraha.
dah enzi hizo UTD ilikuwa balaa..ukilaza damu hupati namba..siku hzi kina Pereira wanachezaaisee kweli maisha yanabadilika..
Dah mpira una matokeo ya kusikitisha sanaJamani naombeni link ya game ya PSG v Atalanta tafadhali
Mechi ni ngumu sana hii ila wakifunguka kutafuta goli tutawaadhibu.Sevilla FC are unbeaten in their last 19 matches in all competitions. This is the club's longest competitive unbeaten run ever.
===================
mechi 12 zilizopita wameruhusu kufungwa magoli matano
Liver na man u mnauziana wachezaji toka liniTunaweza kumsajili in reality?