Halafu kuna mbugila mmoja huko Kazuramimba atakwambia Man Utd jana wameshinda kibahati
Pamoja na kufanya makosa ya mara kwa mara (yalitu frustrate wote)
Kuna wakati alishindwa kukadiria nguvu ya pasi
Lakini Bruno ndio mchezaji aliyemfanya kipa wa Copenhagen kuwa bize zaidi jana, amegonga miamba na ana shots on target nusu ya shots on target zote za United.
Hapo sijataja mchango wake kwenye kufungua goli (sio kila mchezaji ana kuhakikisha goli timu yako inapopata tuta)
Bruno ni udropable kwa sasa
Bailly pia alikuwa superb
Hata Norwich alikuwa top 20 ila akashuka darajaKwani wewe haupo top10?
Bruno Fernandes has been directly involved in more goals in all competitions than any other PL player since his Man Utd debut on February 1 – 19 in 21 appearances (11 goals, 8 assists)
Bruno Fernandes vs FC Copenhagen
104 touches
71.1% passing accuracy
6 duels won
4 shots on target
3 key passes
3 fouls drawn
1 tackle
1 goal
Europa League top scorer️
manutd |
#GGMUView attachment 1533865
Substition ina sababu nyingi, najua unajua hilo.★Jana sikupenda kocha alivyo mtoa Eric Bailly bora angetoka Maguire sikuona mchqngo wake jana watu hawawezi kuonq makosa ya Maguire sababu yakikuwa yana tatuliwa na bwana Bailly.
Pia Fred walimuonea sikuona sababu ya kumtoa maana hata Matic jana sikuona mchango wake ki viile.
Rashid makame nae alipaswa atoke kuanzia dakika ya 64 lakini kadumu mpaka mwisho sjui alikuwa anafanya nini maana mipira yote jana ilikuwa inaharibikia kwake na Bissaka.
Jana Timu Pinzani walikuwa wamechoka kama mbwa mkimbizi kama yule captain wao alikuwa anajilazimisha tu ko angetoka Rashid makame akaingia hata Dogo James angenikimbizia pale nazani angezarisha hata goli 2★
Substition ina sababu nyingi, najua unajua hilo.
Kuepusha mchezaji asipate kadi ya pili ya njano(baily yuko likely kuwa booked kuliko Maguire.
Hata utaratibu huujui, una ukilaza. Jana tumeshinda na tumeingia nusu fainali, hakuna cha kuchezea nyumbani. Ndiyo imeisha hiyoMko nyumbani mna shinda kamoja..mnaenda kukazwa goli siyo chini ya tatu next game..
#CFC
Wewe tulia ivyo ivyo kwani akuna om and away??Hata utaratibu huujui, una ukilaza. Jana tumeshinda na tumeingia nusu fainali, hakuna cha kuchezea nyumbani. Ndiyo imeisha hiyo
FyalaaaaWewe tulia ivyo ivyo kwani akuna om and away??
Na wewe usishushe heshima yako unaheshika jukwaa hili jiheshimu. Aliyekwambia Man U walikuwa nyumbani nani? Au walivyoandikwa kushoto ukajua ndo home team? Halafu umeambiwa kuna marudiano? Hao ndo wameondoka hivyo.Mko nyumbani mna shinda kamoja..mnaenda kukazwa goli siyo chini ya tatu next game..
#CFC
Wewe tulia ivyo ivyo kwani akuna om and away??
Mko nyumbani mna shinda kamoja..mnaenda kukazwa goli siyo chini ya tatu next game..
#CFC
Jamaa hujielewi au kipigo cha arsenane bado kimekaa kichwani?Wewe tulia ivyo ivyo kwani akuna om and away??
Nilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..Na wewe usishushe heshima yako unaheshika jukwaa hili jiheshimu. Aliyekwambia Man U walikuwa nyumbani nani? Au walivyoandikwa kushoto ukajua ndo home team? Halafu umeambiwa kuna marudiano? Hao ndo wameondoka hivyo.
Iyo ratiba imebadilika lini? Europa umekuwa kama FA?Jamaa hujielewi au kipigo cha arsenane bado kimekaa kichwani?
Hujui na ufatilii mpira wewe Europa ikiwa kama FA na champions league basi kama fa tu mana wote wanacheza game moja saiviIyo ratiba imebadilika lini? Europa umekuwa kama FA?
NIELEWEshe mkuu..
#CFC