Inter labda fainali mzee, next ni Wolves au SevillaGame ya robo tunakutana na inter Millan tujiandae kisaikolojia
Hata mimi namhurumia sana ROMERO, namuombea kwa Sir God apate timu ya uhakika awe chagua la kwanza.wamnnune yuko vzr
Acha maneno yako wewe mpira hauko ivoNakwambia kwa style hii ya uchezaji huko uefa tunaenda kuwa kitoweo cha wanaume..tutapigwa nane.!!
Hauko seriousGame ya robo tunakutana na inter Millan tujiandae kisaikolojia
Tumeanza kumdefend kama tulivyokuwa tunafanya kwa pogbaYaani Fernandes anachoshwa aisee. bado hajaeleweka.
Leo nilifurahi kumwona Pogba akileta uhai kwa team.Very poor
Martial and Pogba are the only one who deserve a little praise
Fernandes ni uchovu au nini?..very careless.
Robo gani!??Game ya robo tunakutana na inter Millan tujiandae kisaikolojia
Huo ni mtazamo wangu mzee...ukikimbilia UEFA wkt timu yako mbovu unategemea nini!??Acha maneno yako wewe mpira hauko ivo
Pogba jana alitulia sanaLeo nilifurahi kumwona Pogba akileta uhai kwa team.
Football is not like that mzee!!!Huo ni mtazamo wangu mzee...ukikimbilia UEFA wkt timu yako mbovu unategemea nini!??
Team za london against Bayern Munich
Chelsea alikula 7-1
Spurs 7-2
Arsenal akala 10-2
Ss wewe jipeleke wkt hujakamilika uone utakachofanywa.
Tottenham na arsenal timu ziko top 10 hizo usitufananishe nao sisi was top 3Huo ni mtazamo wangu mzee...ukikimbilia UEFA wkt timu yako mbovu unategemea nini!??
Team za london against Bayern Munich
Chelsea alikula 7-1
Spurs 7-2
Arsenal akala 10-2
Ss wewe jipeleke wkt hujakamilika uone utakachofanywa.
Mamluki huyo mzee, mu-ignore..Inter labda fainali mzee, next ni Wolves au Sevilla
Tumeanza kumdefend kama tulivyokuwa tunafanya kwa pogba
Recently amecheza hovyo na anahitaji kuimprove..tuache kumungunya maneno
Jipe moyo tu..Tottenham na arsenal timu ziko top 10 hizo usitufananishe nao sisi was top 3
Mkuu umeongea fact..BUT naomba usome vizuri mtiririko wa arguments kati yangu na yule jamaa then utaelewa nimeandika nikimaanisha ki2 gani..Football is not like that mzee!!!
Iwe timu yetu ni mbovu au sio mbovu, kufuzu UEFA ni jambo muhimu sana. Ikitokea tumetolewa kabla ya kufika fainali ni sehemu muhimu ya mchezo tutakuwa tumeikamilisha. Kwenye mpira hakuna furaha kila siku zipo siku utaumia tu. Matokeo ya timu za London dhidi ya Bayern sio ya kwetu sisi. Leo tumepata goli moja dhidi ya Copenhagen ila sio kiashiria kwamba timu yetu ni mbovu. That's how football works, ups and downs are there for us, hazikwepeki. Hata wachezaji kuna muda watapanda na kuna muda watashuka.
Kama mashabiki tunapenda timu zetu ziwe juu kila siku jambo ambalo haliwezekani kamwe kwenye football. Real Madrid kutoka kuchukua back-to-back UCL mpaka kutolewa hatua za mapema tu ni sehemu ya mchezo.
Muda hautusubiri, tumepata nafasi ya kucheza UEFA CL hakuna haja ya kukaa chini kuwaza wapinzani. Mpira ni kujaribu, hata timu kubwa na nzuri zinajaribu. Timu bora ndiyo yenye possibility kubwa katika football kushinda ila hata timu mbovu inaweza kushinda.
"In football you don't deserve, you win or you lose."