Pale hamna kitu, sababu tu team work, ila na famba nyi gi afu hana paceMagwaya amesaidia sn..basi tu ni inderrated kulingana na price tag yake..LAKINI JE WAJUA KAMA MAN UTD NDIO TIMU PEKEE ULAYA(top 5 leagues) YENYE CLEAN SHEETS NYINGI KULIKO WENGINE!!??
unadhani hayo matokeo yamekujaje..DEFENSE yetu inaimprove!!
Your argument should be data-based, bila hivyo tutakesha hapa..Pale hamna kitu, sababu tu team work, ila na famba nyi gi afu hana pace
Kuna sababu mbili kwa maoni yangu ni kwanini man utd inachelewa katika sajili zao.
Ya kwanza ni kwa sababu tuna fan base kubwa sana hivyo ed anatumia nafasi hiyo kufanya biashara kwenye kila kinachofanyika. Kadri anavyochelewesha kutangaza sajili zake anatengeneza shauku ya mashabiki hivyo siku akimtangaza na kuweka kiunganishi cha piano,basi anaweza kurudisha gharama za usajili kwa mauzo ya jezi peke yake (refer inshu ya Sanchez)
Sababu ya pili ni kama united huwa haifanyi target zao mapema sana au walau mwishoni mwa msimu ili dirisha la usajili linapofunguliwa waende kwa ajili ya kuchukua tu. Mfano sajili kama za ma ncity na Chelsea ni kiashiria tosha kwamba wanakuwa wanajua wanataka nini na watapata wapi hivyo ni suala la kwenda kuchukua tu muda unapofika.
We jamaa..Phil jones yupo UTD tangu enzi za Babu Ferguson..Unataka apate mechi ngapi wkt mtu yupo kikosini kwa zaidi ya miaka nane..
Kuna tetesi za Inter kuachana na Conte ?antonio conte akiondoka Inter milan, dili la sanchez itakuwaje?
nimeziona vyanzo takribani vitatu vya habariKuna tetesi za Inter kuachana na Conte ?
Huyu Sanchez kawa kichomi kweli kwetu sijui mzimu wake utatuandama mpaka lini aisee.nimeziona vyanzo takribani vitatu vya habari
HeeeHuyu Sanchez kawa kichomi kweli kwetu sijui mzimu wake utatuandama mpaka lini aisee.
Nimeona pia taarifa Man united wanataka kumtumia Sanchez na Smalling kama ndoano ya kumsajili Skinniar.
juventus na AS ROMA wameona jambo gani la umuhimu ambalo sisi mashabiki wa man utd hatulioni kutoka kwa smalling?Huyu Sanchez kawa kichomi kweli kwetu sijui mzimu wake utatuandama mpaka lini aisee.
Nimeona pia taarifa Man united wanataka kumtumia Sanchez na Smalling kama ndoano ya kumsajili Skinniar.
kwenye dili la sanchez na mkhitaryan hakuna mwenye uthubutu wa kumcheka mwenzake, tofauti kubwa ilikuwepo kwenye maslahi ya wachezaji binafsiHeeeSanchez hamumtaki tena?!
Si mlimchukua kwa mbwembwe nyie.. Arsenal wakaona isiwe tabu, wakawalisha bomu mdomoni.
Ni kiasi cha muda tu, msubiri liwaripukie.
Nyumbuuuu
Ligi haina pressure kubwa sana lakini kuzungukwa na wachezaji wengi wenye ubora mkubwa sana.juventus na AS ROMA wameona jambo gani la umuhimu ambalo sisi mashabiki wa man utd hatulioni kutoka kwa smalling?
hii ya miaka 3 ya karibuni ameimprove sana kiuwezo ila ndio hivyo kila mwalimu na mchezaji wakeLigi haina pressure kubwa sana lakini kuzungukwa na wachezaji wengi wenye ubora mkubwa sana.
Ni kweli sijajua nini kinachompa kiburi Solkjaer kumuondoa Smalling na kumbakiza Tuanzebe.hii ya miaka 3 ya karibuni ameimprove sana kiuwezo ila ndio hivyo kila mwalimu na mchezaji wake