Sheria ya UEFA bingwa wa Europa na UEFA wanaingia kwenye UEFA hata kama hawajakolifai kwenye ligi zao
EPL inaruhusiwa at maximum kupeleka timu tano kama mojawapo wa timu ni mshindi wa Europa au UEFA ambayo haukkolai kwenye ligi. Kwa maana io i ya top 4 na ikabeba UEFA (ndoto za alinacha) na Wolves akabeba Europa basi ni timu tatu tu zitaungana nao kwenye UEFA mwakani ambazo ni mshindi wa kwanza hadi wa tatu na mshindi wa nne anaenda Europa akiungana na mshindi wa tano, kama Arsenal akishinda FA anaenda Europa na hivyo mshindi wa sita hatashiriki Europa kwa sababu Europa ni timu tatu tu zinatakiwa.
Ila uwe na amani,helsea kushinda UEFA itakuwa ni Comeback yake kwa Bayern itakuwa maajabu ya milenia ya tatu na ubingwa wa UEFA kwa timu tuliyonayo itakuwa maajabu ya Karne ya 21