Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umetumia pesa kugombania top4
Mbaya zaid top 4 mpk sasa kwako haieleweki mkuu
 
Leo nyumbu out top four , na sidhani kama mtatia pua yenu kwenye huu uzi baada ya game leo
 
Mafanikio pekee ya Ole kwenye soka mpaka sasa ni kushusha timu daraja.
Lampard ndo msimu wake wa kwanza kufundisha timu kubwa. Wakati Ole keshashusha adi timu daraja uko...

Lampard kajitahidi sana alafu kumbuka Chelsea haikufanya usajili wowote mwanzoni mwa msimu
 
Mkuu hujawahi ona mende akiangusha kabati? Wait uone
 
Mkuu hujawahi ona mende akiangusha kabati? Wait uone
Correction "...... Kwa maana Chelsea ikiwa nje ya top 4 na ikabeba UEFA (ndoto za alinacha) na Wolves akabeba Europa basi ni timu tatu tu zitaungana nao kwenye UEFA mwakani ....."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…