Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno is a goal scorer, Bruno is a chance creator, Bruno is a defender, Bruno is a leader.
 
Wakuu kwa uchezaji huu wa Maguire siku hizi anazingua kama captain, me naona kocha afikirie kumpa ucaptain Matic au Bruno.

Hata hivyo nafurahi sana kuona tuna viongozi 4 dimbani, Maguire, Matic, pogba na Bruno kila mtu anahamasisha na kuwapanga wenzake.

Bruno amesaidia kuwavamia mabeki wa timu pinzani wanaocheza back pass kwa maelekezo yake. Now inakuwa ngumu kwa timu pinzani kukaa na mpira. Kupiga krosi, kudribble yaani taabu.

Bruno ni zawadi tosha. Imagine tupate forward mfia timu kama Bruno na beki moja la kati mwenye roho ya vidic.

Come on Ole.
 
Bruno is a goal scorer, Bruno is a chance creator, Bruno is a defender, Bruno is a leader.
Sure, Pogba anatakiwa kujirekebisha pakubwa sana kwenye field professionalism, mimi ninaujasiri wa kusema kwamba MPAKA SASA, Greenwood anaweza kuwa ameishampita Pogba kwenye field professionalism.

Mechi ya juzi na vila watu wamefanya blunders kubwa ni wawili rashford (mbili) and pogba (mbili).
Wote wawili, wali cancel opportunities za kufunga kwa upumbavu wa kutokutoka offside zones kwa haraka. wakabaki wanajivuta vuta kitoto.

Rashford akijua kabisa Pogba yuko kwenye pace ambayo ni lazima apelekewe mpira, akajichelewesha kisha akapiga golini hopelessly, goli likaingia lakini likawa ruled out obviously.

Pogba, alifanya mbwembwe akany'ang'anywa mpira na kuwapa vila nafasi ya ya wazi kufunga, wakachemsha wenyewe, na hakujali kiivyo.

Pogba akumbuke, kabla hajatoka majeruhi, na kabla ya lockdown, bruno had helped to elevate the team's winning mentality all alone. yeye alipaswa kufanya hivyo toka 2018 akashindwa.

I like his partnership with bruno though.
 
Tusidanganyane, mashabiki wa United,
Hatuwezi kubeba ubingwa kwa kikosi hiki.




Kwanza huwezi kucheza mechi 30, bila wachezaji wako kupata injuries. Sote tunamjua Martial, huwa anapata injuries.
Luke shaw, Pogba mwenyewe. Hawa ni key players.
Wakipata injuries Timu haitocheza kama inavyocheza sasa hivi.

Pili, kuna viwango kushuka. Kuna suspensions.
Tunahitaji kusajiri,kusajiri wachezaji( 1st eleven na backups za uwakika)

Binafsi sifikiri ubingwa msimu ujao(2020/2021), msimu wa 2021/2022 sawa.
 
Bruno amejaliwa Kipaji ambacho wachezaji wengi hawana. Yaani kaikuta timu ina presha kubwa ila mziki wake uwanjani anaoufanya utafikiri ana uzoefu wa miaka kumi Premier League. Kama Solskajer angemleta James Madisson asingeweza kufanya hicho anachofanya bruno.
 
Vipi Mourinho ameshatwaa ubingwa huko aliko?
 
Man U ina mashabiki wengi sana.
Yaani hata ukimuona masai ukimuuliza unashabikia timu gani?
Jibu ni MANCHESTER UNITED
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…