Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unaongelea mechi ya mwaka uliopita

Huoni hata aibu kujipitisha na kanga iliyolowa humu wakati ukishakojolowa vi 8, au unataka vingine
Eti mwaka uliopita hehe hujui kwenye football tunahesabu msimu.Hebu kalale.
 
Nawakumbusha Mourinho ni kocha mpuuzi na hana uwezo wa kuitoa timu ya Tottenham hapo ilipo.


Wale wafuasi wa MoU karibuni
 
Mkuu mpira wa wapi unaongelea...Rashford yuko pembeni na ameingia mara nyingi zaidi yake kwenye boksi kupambania mpira, Greenwood kaingia dakika za mwisho kapambana zaidi ya hilo mbulula..Halijui kuji-position pumbaf kabisa.
Una kichaa wewe ....
 
Romero aanze kazi de gea akae benchi kidogo
 
Alikuja OT tukamchakaza na hao kina Delle Ali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…