Hiki kikosi nafikiri ni kizuri kwenye kushambulia ila tukishambuliwa tutakua weak, mtazamo wangu tu
Kama Pogba na Bruno wataanza 1st eleven nafikiri Fred na Matic pia waanze, hapo kwa James weka Matic au Scot then badae substitution zitafanyika kulingana na uelekeo wa game