Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijaelewa ni lini alishindwa kazi kutokana na mbinu za zamani, mbinu hizo hizo ndizo ziliwapa Europa mlionayo, na ndizo Atletico Madrid alitumia kumtoa Man City. Huwa nashindwa kuwaelewa, Ole kwa sasa analindwa kwa kigezo anajenga timu, Mou kaanzia msimu katikati ila wanataka awe amebeba vikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika mkuu! Jamaa habadiliki
 
Ata ligi ingeendelea bado uefa musingecheza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye top 4 ndipo panafanye ligi isifutwe point za chelsea zinafikiwa na timu zote 4 kule kwenye kushuka daraja bado zile point utata had timu ya 14 mabadiliko yanaweza kutokea bila hivyo kombe angepewa liverpool
 
Point
 
Yani sasa hivi hata kununua bando naona haina maana kabisa michongo yote ya kupiga pesa tuliozoea kila wikendi hakuna.
 
Yani sasa hivi hata kununua bando naona haina maana kabisa michongo yote ya kupiga pesa tuliozoea kila wikendi hakuna.
Hii corona imeua michongo mingi sana mjini hapa.

Hope by the end of April itakuwa imepungua sana maana nchi zilizopigwa sana rate ya vifo na new cases imekuwa ikishuka kwa kasi kidogo.

Tuombe lisichanganye sana huku Africa tutakuwa kwenye danger kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikitokea rate ikawa juu kama italia,Waafrika tutatengwa na dunia.
Mungu azidi kutusimamia tu
 
Hivi katika washambuliaji tunaohusishwa nao mbona sioni jina la Lataro Martinez likitajwa kwamba siyo mzuri ama?
Wachezaji aina ya Lautaro Martinez Man united tunao watatu kwanini tumhitaji Lautaro ?

Man united sasa inamhitaji central striker caliber ya Harry Kane, Timo Werner, Lewandowski, Edison Cavan au Mauro Icard.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji aina ya Lautaro Martinez Man united tunao watatu kwanini tumhitaji Lautaro ?

Man united sasa inamhitaji central striker caliber ya Harry Kane, Timo Werner, Lewandowski, Edison Cavan au Mauro Icard.

Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani ishu ya usajili wa striker itategemea zaidi na jinsi Ole gunnar anavyomchukulia anthony martial 9 na kiwango chake cha utoaji wa huduma msimu huu (ikiwa bado anamuona ni mtu sahihi wa kuendelea kuwa chaguo la kwanza au kinyume chake).

halafu pia kuna ishu ya usajili wa kiungo pembeni ambapo kuna uwezekano mkubwa wa kujiingiza moja kwa moja kwenye harakati za kumsajili jadon sancho (hapa pia itategemea na muelekeo wa usajili wenyewe, either kufikia gharama za usajili wake au kinyume chake), ina maana kutatokezea taathira ya gharama za usajili..

ikiwa Ole atahitaji mshambuliaji atakayeweza kumletea ushindani mkubwa anthony martial tutalazimika kutumia gharama kubwa kwa dhumuni la kumtafuta mshambuliaji mwenye ubora zaidi ya martial na wenzake (hapa utakutana na washambuliaji mfano wa harry kane,haaland, moussa dembele)

ikiwa ole bado anamuona anthony martial ni mshambuliaji sahihi kwa mtazamo wangu naamini ni bora tumsajili Odsonne Edouard kutoka Celtic au Calvert lewin kutoka everton, bado ni vijana wadogo sana, takwimu zao za ufungaji msimu zinaridhisha.

raul jimenez ni mshambuliaji hodari kitakwimu, mpambanaji, ana uzoefu mkubwa wa premier league lakini tatizo litakuwa ni gharama zake za usajili zitakuwa ni kubwa halafu umri wake pia itakuwa ni kikwazo (ana miaka 29).

Timo werner sidhani kama tuna nguvu ya kiushawishi itakayoweza kumshinikiza asajili manchester united badala ya bayern munich, liverpool na borussia dortmund.


ubaya wa hizi team kubwa muda wote mchezaji aliyesajiliwa anajikuta kwenye hali ya presha kupanda
 
Sounds interesting...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi usajili wa striker kwetu unategemea sana na Ole anawarate vipi strikers wake.

Yawezekana anamuandaa Greenwood aje ampe majukumu zaidi kuliko msimu huu.

Yawezekana Ole ataamua kujiachia moja kwa moja kusajili striker huenda hataipa nafasi kubwa nafasi ya winger wa kulia, ila ninayeweza kusema wazi atakuja Man united kwa nafasi hiyo huenda akawa Jack Grealish.

Kwa mwelekeo wa timu yetu ni wazi dirisha la usajili kwetu litakuwa ni kuimarisha eneo la mbele zaidi kuliko maeneo mengine. hii itategemea na mambo mawili iwapo Pogba ataondoka tutahitaji kuongeza kiungo mmoja.

To be Frank kwa mahitaji ya muda mfupi siyo mbaya man United wakimsajili Raul Jimenez huku wakisubiri Greenwood akomae kwa kiwango cha Raul tutakuwa tumepiga hatua nzuri.

Tuendelee kuomba Corona iishe turudi katika maisha ya kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani naomba kuuliza hivi Douglas costa na Jadon Sancho hawachezi namba moja?
Kama wanacheza namba moja hawa Viongozi wetu watakuwa na matatizo sababu binafsi naona Douglas Costa ni mchezaji mzuri na uwezekano wa kumpata ni rahisi kuliko Jadon Sancho.
GGMU
 
Douglas Costa ni winger wa kushoto na hana madhara sana kama Jafon Sancho.

Heri utupe pesa zako kumnunua Julian Draxler au Grealish kuliko Douglas Costa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…