permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,328
- 15,037
Sijaelewa ni lini alishindwa kazi kutokana na mbinu za zamani, mbinu hizo hizo ndizo ziliwapa Europa mlionayo, na ndizo Atletico Madrid alitumia kumtoa Man City. Huwa nashindwa kuwaelewa, Ole kwa sasa analindwa kwa kigezo anajenga timu, Mou kaanzia msimu katikati ila wanataka awe amebeba vikombe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Permanides na Mkwawe walihama na Mourinho, hivyo tegemea utetezi wa hali juu sana juu ya mafanikio ya Mourinho ambayo siyo siri ni makubwa sana katika soka.
Nafikiri kwa makocha wanaofundisha soka mpaka sasa Mourinho ndiyo mwalimu mwenye makombe mengi sana na mwenye record ya pekee sana katika club aliyofundisha.
Kibaya ni kwamba mbinu zake siyo relevant tena katika soka la hisabati kali kama sasa analazimika kuwa mkorofi badala ya kuwa mbunifu.
Tumpe Pole nyingi sana kwa kupitwa na wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app