Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati CR7 anashangilia kutufunga, usisahau kuwa kocha wetu alikuwa Mourinho.

Enzi zile Mourinho akiwa Chelsea(miaka ya 2004-2007) alikuwa anamwambia CR7 kuwa anajidai kufunha sana timu wakati hakusoma.

Na hata Mourinho alipokwenda Madrid na kukutana na CR7 huko, nadhani mwisho wa siku Mourinho hakuwa na maelewano na baadhi ya wachezaji kama vile Casilas na huenda hata Ronaldo.

Hitimisho langu, CR7 hakushangilia kwa kuifunga Manchester United bali kwa kumfunga Mourinho.
 
Ha ha ha duuu!
 
Ujerumani wanaotegemea kuendelea na ligi ya soka mwezi Mei

Naona Uingereza Darts Premier League inaanza July

Sijui hizi ni dalili nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ikitokea ligi ikafutwa,possibly watapandisha timu ila pendine hawatashusha timu na bingwa kumkabidhi kombe. Je kwenye timu za top four zitazopaswa kucheza UCL next season itakuwaje? Mana hapo wakisema waache kama msimamo ulivyo haitakuwa haki hasa kwetu ambao tunakabana na Chelsea pale nginja nginja. Au watafanyaje? Kuna mdau yeyote anayejua way forward ya hii?
 
Kwa vyovyote vile maamuzi yoyote yakufuta ligi yatakuwa na impact kubwa sana kwa timu zote.

Mathalani itakuwa very unfair kumnyima Liverpool ubingwa kwa stage aliyofikia.

Lakini itakuwa very unfair kwa timu za chini ambazo hata ile ta mwisho kabisa inaweza kujiokoa kushuka daraja kwa mechi zilizobaki.

Msimamo kwa timu za nafasi ya 5,67,8 napo zote hizo zinaweza kuingia top four hata top 3 ukifuta ligi na kutoa wawakilishi wa UEFA na EUROPA bado haimake sense.

Tuendelee kuomba hili janga liishe mapema ligi zirejee tu kwanza limetuharibia mishe mingi sana ya maana hapa town.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikifika May, hali ikiwa mbaya waifute ligi zote waanze upya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikifika May, hali ikiwa mbaya waifute ligi zote waanze upya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ligi ilipofikia ni rahisi kuimalizia kama mambo yatakaa poa.
Kufuta ligi kabisa na kuanza mpya kwa sababu gani wakati wanaweza imalizia na mashindano ya euro yameshasogezwa mbele kupisha nafasi apo ya ligi kumalizwaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Transfer window?

Mapumziko ya wachezaji?

Unataka ligi iishe na kuanza upya ligi ijayo?

Kuna wakati tusiwafanye wachezaji kama money machines.

Mpaka mwezi wa 8, mambo yatakuwa settled na kuwa na ligi inaweza kuanza na clean run.

Wuhan maambukizi bado yapo kila siku. Pamoja na kuripotiwa hali kuwa shwari.

Kuwarudisha wachezaji na mashabiki uwanjani mwezi mmoja baada ya sekeseke la Corona ni TAMAA ya fedha kwa FA au UEFA.

Kwanza wadhamini wenyewe wamepata hasara za kufa mtu, wengine wamefunga shughuli zao na hali haitegemei kurudi sawa leo hata kesho.

Let's treat our players as human beings.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Real talk mkuu
.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juventus are willing to let Cristiano Ronaldo go back to his former club Real Madrid for £50m.
#Chanzo :-SKYSPORT

Mnaonaje tukimchukua huyu jamaa huenda ikasaidia maana Juventus wabataka kuachana nae juu ya Dau la pesa na Juventus kwa kipindi hiki wanasema wanaelekea kwenye anguko la kiuchumi ko watashindwa kuhimili kumlipa CR7 na Wachezaji wengine ko wanatafta mbadala wa hilo kwa kumwondoa Turin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kuigeuza timu yetu danguro... Mpelekeno Keko Magurumbasi FC sio Manchester United allllah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu Tot naamini nilitegemea ueleze zaidi ya hyo sababu ya kijinga uloweka. Naomba unisamehe kwa kusema sababu ya kijinga
Permanides na Mkwawe walihama na Mourinho, hivyo tegemea utetezi wa hali juu sana juu ya mafanikio ya Mourinho ambayo siyo siri ni makubwa sana katika soka.

Nafikiri kwa makocha wanaofundisha soka mpaka sasa Mourinho ndiyo mwalimu mwenye makombe mengi sana na mwenye record ya pekee sana katika club aliyofundisha.

Kibaya ni kwamba mbinu zake siyo relevant tena katika soka la hisabati kali kama sasa analazimika kuwa mkorofi badala ya kuwa mbunifu.

Tumpe Pole nyingi sana kwa kupitwa na wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…