Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watu wamepata kiburi sana baada ya kuja Bruno.
Eti," we don't need Pogba " Really?
Time will tell...!
Watu wana hasira na Pogba ila binafsi naona yutakuwa mafara sana kumwachia Pogba aondoke. Kuwatumia na Bruno inawezekana sana. Lazima tuwe na big names wengi kwenye kikosi, ndipo tuta-mantain brand

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wana hasira na Pogba ila binafsi naona yutakuwa mafara sana kumwachia Pogba aondoke. Kuwatumia na Bruno inawezekana sana. Lazima tuwe na big names wengi kwenye kikosi, ndipo tuta-mantain brand

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa hivi pp brand inategemea zaidi kuwepo kwake utd, akiondoka itaenda kudorora vibaya mno..... ilalivyo kichwa maji na mjivuno anafikiri brand yake ndo inabeba utd kwa sasa hivi.

Time will tell

Sent using my Audi A6
2017 model
 
Assists za Pogba huwa ni classic sana. Ana skills wa kupiga mipira saizi zote, mikubwa na midogo kitu ambacho wachezaji wengi wanatamani!! In short uchezaji wa Paul km hana stress pekee ni kivutio kwa mashabiki na ni business

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji wanaojua hawachezagi kwa kukamia km akina Hazard na Kelvin. Mcheki Mesi, hatoki hata jasho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…