Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kagawa nje Giggs ndani ndivyo nilivyokua nataka....ngoja mzee aonyeshe vitu vyake naye.
 
Tungepata goli nyingine itakuwa poa zaidi hata kama wao watashinda leo
 
Ngapi ngapi? Utawaona tu wakicheza Gunners maneno mengi kama pili pili manga. Matokeo Matokeo hamna, wote wanawaza mashoga wanawewesekaweweseka tu damn it! Fungie kamfunga Morinyo mara mbili tu wakati Morinyo kambangua mara sita .... ..... na wametoka sare mara sita chacha Fungie nasikia kapaki basi.
 

Endelea hivyohivyo kusikia tu
 
Dah! Refa anaua bend makusudi madrid wanacheza foul nyingi anaacha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…