Mzee bado anasukuma mashine aiseee kama VP arudi apige dei waka miez kadhaa ya ukochaLeo Babu Sir Alex ndani ya Carlington, mara ya mwisho kutembelea pale ilikua october last year
Nafikiri kaenda kuwasisitiza vijana kwamba dozi za 5 - 0 ziendelee kwasababu hakuna namna wapigwe tu
View attachment 1371751
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kaka Charlin C kwan mi nimesema nataka kumfata Mou kule Spurs?Kila kwenye amani na furaha wachawi hawakosekani . nasikitika kuona na wewe ni mmoja wako. Najua humtaki Ole ndo maana unaponda kila zuri la timu unataka timu ifanye vibaya ili ole afukuzwe huo ni uzwazwa na ubumunsa wa hali ya Juu.
Kua mchawi sio lazma uloge na kutembea na tunguli hata hili unalofanya ni uchawi pia.
#Mourihno yupo spurs mfuate huko.
#Tuachie Ole wetu anatutosha
#GGMU
History doesn't predict the results!Tumemfunga Pep Etihad itakuwa huyo mzee Ancelot??
Hatupati!
Uwepo wa Martial ungekuwa na msaa sana kwa Ighalo kufunga magoli mengi zaidi, kama wakichezeshwa pamoja.
Inawezekana wewe ni hater wa jamaa lakini uwepo wake umetufanya tushinde pia mechi nyingi tu.
Itakuwaje Ighalo akashindwa kufanya vizuri mechi ya jumamosi kwenye sub atakwenda kucheza nani bila uwepo wa Martial ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuaje watu mnafurahia mchezaji wenu aumie
Imagine hapo hapo kati Ighalo kapata shida, hata kama Martial ni mvivu lazima timu iwe na depth
Lazima timu iwe na options Mkuu, kuna mechi inahitaji mtu wa style ya Martial na sio Ighalo
Sent using Jamii Forums mobile app
History doesn't predict the results!
Unamchukia AM9, then akiwa anafunga goli la ushindi/kusawazisha unajisahau unashangilia hadi koo linakukauka. Aiseee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Well naona una point mimi sina shida martial akiwa benchi. Dogo akifunga nashangilia ila kuna vitu anakera sana unaona bora apumuzike mtu ambaye harembi aanze.
Mechi na Everton Ighalo akitumia krosi za James na Bruno vyema mbona namba yake inakuwa hatihati.
Na nataka ighalo aanze ili dogo ajifunze ili siku nyingine ajitume zaidi.
martial amenza mechi 8 against everton, Amewafunga goli 5 na assist 2, ana zaidi ya contribution 1 ya goli in 90 minutes,Ndio mpira bana ila jamaa huwa muda mwingine anakera na migrovu yake. Hata Ole kasema anatafuta mtu ambaye yupo tayari kuvunjika pua akipigania timu.
Kufurahia Ighalo kuanza ni kutoa challenges kwa dogo ili muda mwingine ajitume zaidi.
Tulikuwa tunafurahia Brandon Williams kuanza badala ya Shaw matokeo yake Shaw kaacha ubishoo now anafight maana anajua akizingua Brandon anamkwapua namba hiyo ndio tunataka kwa Martial ajue yeye sio striker pekee ili asivimbe aendelee kujitumaa.
Safi sana Ole piga benchi vichwa vigumu hadi vijitume akija Rashford akileta unaa piga benchi.
Fanyia mabishoo kama ulivyofanyia Perreira na Lingard ili akili ikae sawa.
Hatuwaombei mabaya bali tunataka wawe challenged ili Man U iwe moto kila eneo.
Huna uwezo huo, weka jiwe mimi naweka hela ukishinda hiyo mechi unachukuaEverton hajawahi kuwa easy prey kwa Man united but matokeo yeyote tutayapokea kama yatakavyokuja.
But naona kila dalili za kwenda kulipa kisasi pale Goodson Park.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani babu aamke asubuhi saa 11 aende mazoezin na wajukuu zake?Mzee bado anasukuma mashine aiseee kama VP arudi apige dei waka miez kadhaa ya ukocha
Sent using Jamii Forums mobile app
martial amenza mechi 8 against everton, Amewafunga goli 5 na assist 2, ana zaidi ya contribution 1 ya goli in 90 minutes,
DE GEA SOKONI
DAVID De Gea mlinda mlango wa Manchester United huenda akauzwa ili kuiongezea timu yake mkwanja wa kufanyia usajili msimu huu.
De Gea mwenye miaka 29 raia wa Hispania amekua akifanya makosa ya mara kwa mara ambayo yanaigharimu timu yake kushindwa kupata matokeo mazuri.
Juventus na PSG zinapewa nafasi ya kuinasa saini ya nyota huyo wa Manchester United.
Mkataba wake ndani ya United unatarajiwa kumeguka mwaka 2023.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu angalau tufurahi anapowekwa benchi ila siyo anapoumia. Hivi kwa mfano ighalo akashindwa Ku deliver ktk hyo game na martial kaumia tutafanyaje ilihali rashford nae hajarudi!? Au ndo greenwood?Tumekuelewa mzee. Binafsi nilikuwa shabiki wa Martial ila baada ya hizi kero za kibrazameni doh! Ukizingatia viungo wanarusha ball sana inabidi tuwe na mtu fighter kingine anaonekana Amejaa upepo yule.
Tumefurahi ameumia ili kutoa nafasi kwa ighalo akipiga mpira mkubwa dogo atajifunza na ataweza kujituma.
Martial anatusaidia lakini anajiona yeye ndio Striker pale Utd so leo kupumzika Jumapili Ighalo akipiga mpira wa kueleweka dogo atajituma sasa.
Tunataka wanaojituma.
Mbona Shaw tulikuwa hatumtaki ila siku hizi tunamkubali.
Lingard baada ya kocha kumkazia unaona japo katoa assist uchoyo kapunguza.
Ndio hivyo hivyo tunataka kila mchezaji awe challenged sio kujiona wewe ndio timu.
Bruno Kafanya Kelele za Pogba kuhama tuzipe go ahead. Imagine Bruno asingekuwapo tunasuasua kiungo Pogba angezidi kichwa yule.
Akirudi Pogba atajituma tu maana anajua ustaa wake unamezwa na Bruno mnyama.
Leo Babu Sir Alex ndani ya Carlington, mara ya mwisho kutembelea pale ilikua october last year
Nafikiri kaenda kuwasisitiza vijana kwamba dozi za 5 - 0 ziendelee kwasababu hakuna namna wapigwe tu
View attachment 1371751
Sent using Jamii Forums mobile app