Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Team News

Scot Mc Tominay amerudi kwenye kikosi, akifanya mazoezi kamili (full training) na wenzake. He is the worior, siku zote amekuwa akirudi mapema kikosini kuliko inavyotazamiwa kila mara anapopata injury. Amekaa wiki 6 badala miezi 2 iliyotazamiwa. Hata hivyo hajaonekana akipanda ndege kwenda Ubelgiji

Lindelof amefanya mazoezi na kikosi cha kwanza, hii ni baada ya kushindwa kucheza mechi ya Chelsea. Lindelof amesafiri na kikosi kwenda Ubelgiji kuwakabili Club Brugge

Ighalo, Fernandez na Bishop wachezaji 3 waliosajiliwa katika dirisha dogo wote wameshiriki katika mazoezi ya mwisho leo kabla ya kwenda Ubelgiji na wote wamekwenda na kikosi.

Rashford, Tuanzebe, Fosu Mensah na Kirusi bado hawajawa fit kiasi cha kushiriki mazoezi ya kikosi na kujumuishwa kwenye kikosi cha timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu, OGS apewe dirisha lingine alete maingizo yake ndio tuje kumlaumu hapa, hakuna muujiza ktk soka zaidi ya uvumilivu
kwanza kabla ya yote amuuze haraka iwezekanavyo Corona Virus Pogba kabla hajambukiza dressing room

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli Rashford atakosa msimu mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh ole mbinu zake zinaonekana
Mm kama mwanamichezo naangaliaga game kibao tu za man u ,

Mbinu za jamaa zinaonekana ,na mpira unaonekana , kuanzia mech za city unaona kabisa counter attack zinaonekana , mech na Chelsea , mbona man u mpira wanaweka chini wanapiga pass vzr ,tatizo linabak labda kwa martial kidogo , yuke ighalo anaweza kuwasaidia .

Sajiri zake zinaonesha uhai, sasa hivi hata kiungo wenu Fred anakichafua balaa , shida ni kwenye attacking , hiyo ni improvement kubwa
 
ole gunnar solskjaer
On Aaron Wan-Bissaka
What have you been working on with him?

We have been working on patterns and movement and relationship with strikers. The strikers need to get in the box, fill the box with more players we’ve not had too many numbers in the box.

Aaron has provided a few nice assists now he has a big part to play. When you’re at United as a full back you do have to provide assists.
He’s one of the best one v one defenders I’ve ever seen.
 
Naunga mkono Pogba kuondoka.

But kuondoka kama free agent, kuna hasara nyingi kuliko faida kwa timu.

Mkataba wake unaisha 2021, maana hiyo atalipwa mshahara mpka atakapo ondoka . hii inaweza kuzuia kusajiri.
Wakati unaweza kumuuza hata kwa £90m. Ukasajiri Middle wawili na ukawalipa mshahara wake.
Hapo hujaangalia damage atakayoifanya kwa timu yeye na agent wake.


Na kwenye biashara yoyote(Man U included), lengo ni kupata faida ,sio kumkomoa mtu.

Beggars can't be choosers
 
Sure mkuu

inabidi tumalize hii mechi mapema huko huko kwao
 
Nafikiri Fred anatakiwa apumzike amecheza sana this season .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu karibu tena Jukwaani, hizi siku mbili tatu ulipotea
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…