Mechi na Wolves alichezeshwa chini mkatoa mkalalamika kuwa achezeshwe juu leo kacheza juu mnalalamika tena kuwa hajacheza eneo lake.
Mnataka achezeshwe mbinguni ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mashabiki wanajua kuliko manager anayeshinda na wachezaji
Mechi na wolves alicheza poa na ilikuwa sahihi kabisa na alikuwa na mipira mingi ya hatari .Mechi na Wolves alichezeshwa chini mkatoa mkalalamika kuwa achezeshwe juu leo kacheza juu mnalalamika tena kuwa hajacheza eneo lake.
Mnataka achezeshwe mbinguni ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi na wolves alicheza poa na ilikuwa sahihi kabisa na alikuwa na mipira mingi ya hatari .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema vibonde wenu ni City na Chelsea. Hapo kwa liverpool ushindi wenu ni draw tu. Naona umepambapaaambaaOle Against top 6 this season:
Has defeated Chelsea 3 times & did the league double over them for the first time in 32 years,
Has defeated City 2 out of 3 times, with return fixtures still to be played at Old Trafford,
Has defeated Mourinho's Spurs.
AND THE ONLY MANAGER TO TAKE POINTS FROM LIVERPOOL'S POCKET THIS SEASON.
Ole Against top 6 this season:
Has defeated Chelsea 3 times & did the league double over them for the first time in 32 years,
Has defeated City 2 out of 3 times, with return fixtures still to be played at Old Trafford,
Has defeated Mourinho's Spurs.
AND THE ONLY MANAGER TO TAKE POINTS FROM LIVERPOOL'S POCKET THIS SEASON.
Haya anzeni tena kuongea kuhusu VAR. Maana ingekuwa ni Liverpool hapa mpaka mate yangekauka mdomoni kwa kulalama wanabebwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiamua kupata matokeo anayapata tu kutoka timu yoyote katika hali yoyote.
Alilithibitisha hilo dhidi ya PSG akiwa na majeruhi wengi kuliko kipindi chochote pale Park De princess.
Ole at the wheel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu unataka uniambie mechi anazopigwa huwa anaamua kufungwa/kutopata matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie kelele nyingi acheni hizi Bruno Tumelamba mtu, haiwezekani wajinga Perreira na Rashford kutupaishia freekicks na kona. Now tuna dawa ya Freekicks na Kona.
Shukurani kwa perreira kumunong'oneza bruno apige moja kwa moja Maguire kula kichwa matata.
Saluti kwa Dogo Williams Ole Ole Dogo yupo kibabe zaidi hapo ndio raha.
Huwa najiamini Nikimuona dogo upande wa mawinga wasumbufu.
James Asee tunamfanyaje huyu dogo? Siku hizi amepoa.
Ighalo mechi ijayo tunamtaka, dakika chache alionyesha vitu ambavyo Martial madakika yote hakuonyesha.
Man U ijiangalie kupoteza ovyo mipira.
My Man Of the Match BRANDON WILLIAMS
Yani mzee baba, hata tukitoa mechi zote ambazo unasema VAR imetubeba, bado tunaongoza league. Yani hata saa hii tukafanya Liverpool asishinde tena, na nyie mkashinda kila mechi, bado hamtufikii. Have some respek!Liverpool wamekuwa wanasaidiwa mara nyingi sana na VAR
Hapa tunachoongelea ni frequency ya kubebwa na VAR
Mechi ya juzi yenyewe na Norwich, Mane amemsukuma beki, kisha akafunga lakini VAR ikakaa kimya, ikakubali ni goli
Kwa hiyo watu wataendelea tu kusema kuwa Liver inabebwa na VAR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuandika hiki kitu cross chache za bruno tayari Maguire anaonekana Mtu kwenye Kona.Nyie kelele nyingi acheni hizi Bruno Tumelamba mtu, haiwezekani wajinga Perreira na Rashford kutupaishia freekicks na kona. Now tuna dawa ya Freekicks na Kona.
Shukurani kwa perreira kumunong'oneza bruno apige moja kwa moja Maguire kula kichwa matata.
Saluti kwa Dogo Williams Ole Ole Dogo yupo kibabe zaidi hapo ndio raha.
Huwa najiamini Nikimuona dogo upande wa mawinga wasumbufu.
James Asee tunamfanyaje huyu dogo? Siku hizi amepoa.
Ighalo mechi ijayo tunamtaka, dakika chache alionyesha vitu ambavyo Martial madakika yote hakuonyesha.
Man U ijiangalie kupoteza ovyo mipira.
My Man Of the Match BRANDON WILLIAMS
Wanamuita slab headIla Maguire ana kichwa kikubwa sana kama mtungi wa gas, Jamaa lina kilo 100, kichwa peke yake kilo 30. Kulikaba kwenye kona ni changamoto, Jamaa likiruka juu linasomba wachezaji wanaomzunguka.
Sent using Cash Money Wings
takwimu zinaonesha utd wamefaidika zaidi na var kuliko pool!Liverpool wamekuwa wanasaidiwa mara nyingi sana na VAR
Hapa tunachoongelea ni frequency ya kubebwa na VAR
Mechi ya juzi yenyewe na Norwich, Mane amemsukuma beki, kisha akafunga lakini VAR ikakaa kimya, ikakubali ni goli
Kwa hiyo watu wataendelea tu kusema kuwa Liver inabebwa na VAR
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakumbusha defence ya Nick Butt na Wes Brown kitambo kidogo. Nilikuwa naenjoy ukatili wao.
Kwahiyo Bailly awe anasimama na Maguire sio? Nilikuwa napenda sana ukuta wa Bailly na Rojo,hawa hata washambuliaji wanawaogopa maana kumvunja mtu mguu ni jambo la sekunde tu😂
Inakumbusha defence ya Nick Butt na Wes Brown kitambo kidogo. Nilikuwa naenjoy ukatili wao.
Ila Bailly anajiamini sana, huwa namwelewa sana akiwa kazini
Kwahiyo Bailly awe anasimama na Maguire sio? Nilikuwa napenda sana ukuta wa Bailly na Rojo,hawa hata washambuliaji wanawaogopa maana kumvunja mtu mguu ni jambo la sekunde tu