FULL TIME. Nilitamani sana Odion Ighalo afunge pale alipomtoka beki ili Martial akae bench daima.View attachment 1361258
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwa nini haikuwa red hii nakumbuka son alikula umeme hivi hiviLeo huyu kibaka Baily ameanza duh,naamini redcard ipo.....
NB:Halimagwaya ni morisoni mweupe maana ana uhuniuhuni,kampiga mtu teke la ikulu.
VAR inakunywa chai
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshinda ndiyo lakini binafsi Bado sijalizishwa na uchezaji wetu na mfumo wa uchezaji ,Tumeshinda, ushindi wa leo umekuwa kama wa points 6 (points dhidi ya mpinzani wetu kwenye top four)
Points tatu nyuma ya top four
Bruno 1 assist, 1 woodwork, kiujumla amecheza vizuri
Tatizo sijui game na Watford na Toffees kama tutashinda, hii ndio Man Utd ya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daraja bovu tu masika hiiOh! Oh! Tumevunja daraja tena. Good wish for MUFC
Mbona man u wamecheza vzr sana karibu kila mchezaji kajitoa kwa uwezo wakeTumeshinda ndiyo lakini binafsi Bado sijalizishwa na uchezaji wetu na mfumo wa uchezaji ,
Bruno kacheza vizuri lakini nafikiri lile siyo eneo lake halisi la kumfanya afanye mambo makubwa saana,
Bruno anapaswa kushuka chini kidogo Kama namba nane siyo namba kumi,
Bruno Ni mzuri kwa kuanzisha mashambulizi na kutengeneza nafasi.
Fred mzuri lakini siyo mzuri kuanzisha mashambulizi..., Timu haina ubunifu katika eneo la mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole ni wa kufukuza!Weka mkono mmoja kifuani na mwingine uweke hewani Kisha sema maneno haya kwa sauti ...
"Mimi Ni mchawi mbobezi"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tumecheza vizuri lakini , nafasi hazitengenezwi .Mbona man u wamecheza vzr sana karibu kila mchezaji kajitoa kwa uwezo wake
Sometimes mbinu zake hata sizielewi aseeOle ni wa kufukuza!
Watu wabishi tu
Kuna watu wabish humu, Ole ni wa kungolewa pale united!
Tumeshinda ndiyo lakini binafsi Bado sijalizishwa na uchezaji wetu na mfumo wa uchezaji ,
Bruno kacheza vizuri lakini nafikiri lile siyo eneo lake halisi la kumfanya afanye mambo makubwa saana,
Bruno anapaswa kushuka chini kidogo Kama namba nane siyo namba kumi,
Bruno Ni mzuri kwa kuanzisha mashambulizi na kutengeneza nafasi.
Fred mzuri lakini siyo mzuri kuanzisha mashambulizi..., Timu haina ubunifu katika eneo la mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kachalii flani ka chelsea ambako siku nzima kanakesha kwenye huu uzi, nimekasaka mpaka hapa sijakaona? Wadau msije kuta kamepatwa na corona?!
Sent using Jamii Forums mobile app