Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilikuwa sijui mkuu kumbe Young Player of the Year, kiswahili chake ni mchezaji Mtoto wa Mwaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha...... Man Utd tunalikia nafasi ya 5,nayo tunaweza tusiipate Ole akiwa kocha

Kuna Chris Wilder, kuna Jose, Nuno na Ancelot wapo moto balaa

Japo wote hao juu kwa individual players Ole kawazidi, lakini ni ngumu sana United kuwapiku
Mc cane,
Tujitahidi tuwe hata wa 5 basi

Hahahaa duh! Hata hvyo the official statement said they (Manchester City) have an option to appeal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mc cane,
Japokua simkubali Mauricio Pochettino ila namuona akija kuchukua nafasi ya Ole msimu ujao endapo atashindwa kuipeleka timu ligi ya mabingwa. Vyanzo vyangu vya chini chini vinaniambia Mauricio amekua akiziambia timu zinazo muhitaji kwa sasa wasubiri mpaka tarehe 1 mwezi wa 6, na kitu cha kufurahisha huyu jamaa hana wakala yeye mwenyewe ndio chief negotiator wa ma-deal yake.
 
sasa hivi tuna vision gan mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kupromote youth na kuhakikisha tuna academy bora zaidi itakayofeed timu, Nick butt amekuwa promoted na watu ambao wanaijua man U wamewekwa kila mahali mpaka ma legend wetu wa zamani wa Africa kina Quiton Fortune wamekula shavu.

Kwenye Academy sasa hivi kuna Top top players mfano mzuri ni huyu dogo Mjebri, msimu wa huu alikuwa na miaka 16 na ametimiza 17 hivi karibuni lakini hachezi na watoto wa u18 amepandishwa hadi u23, na Huko u23 anakiwasha vibaya mno, mechi 3 tayari ana assist 5.

2. Kusajili watu wanaotaka kuja man united tu na wenye njaa ya mafanikio

Timu kama man united tuna njia zetu, Toka kipindi cha fergie wameshakuja kina Veron, kagawa, kleberson, Djemba djemba etc na wote wakashindwa kufikia potential zao, Kleberson juzi anahojiwa anasema alikuja Man United sababu alijua Ronaldinho nae anakuja man U.

Ukiangalia kipindi cha karibuni watu wamefanya Man U kama ni sehemu ya kula pension, wanakuja kula bata na mishahara mikubwa.

Ole vision yake ya usajili ni vijana wenye Right attitude, njaa ya mafanikio na watu ambao wapo tayari kufia jezi.

Man U hatujulikani sana kwa vipaji, ama chenga, bali tunajulikana kwa spirit yetu, tunapigana hadi dakika ya mwisho,
-wan bissaka tumemuona so far beki bora wa kulia ligi ya uingereza (whoscored), kawazima masuper star kibao msimu huu sterling, mane, Adama etc
-Maguire naye tunamuona japo kaja bei kubwa ila ni big improvement toka kwa watu kama jones/Rojo na leadership skills zinaonekana
-james japo hana kipaji kikubwa ila amecheza vizuri sana

Hawa tuliosajili january tayari kuna positive zinaonekana
-Ighalo amekubali kupunguziwa mshahara ili acheze man united, jambo kama hili pekee linaonesha jinsi gani jamaa atakavyofia jezi.
-Bruno amekataa Barcelona sababu ya man United, hakuna reliable source ya mshahara ila tetesi mshahara wake ni around 70k mpaka 100k ambao pia unaonesha jinsi gani jamaa anataka kuprove man utd na sio kuja kula pension.
So far kuna positive nyingi sana kwenye usajili.

3. Kuanza upya na wachezaji kukua na Timu
Tumejaribu njia nyingi sana ikiwemo kununua masuper star, Timu juzi hapa tu mbele kuna RVP, Rooney, Falcao, Di maria etc lakini still tulikuwa hatufanyi vizuri, Mjinga ni yule anaejaribu kitu kinashindwa then anarudia tena kile kile akitegemea matokeo tofauti.

Vision ya Ole ni kuwa na Vijana then wakue na Timu ndio maana unaona Forward line yetu sasa hivi ina Martial, Rashford na Greenwood, na wote japo ni wadogo ila tunaona Impact yao. Pia tuna watu kama AWB, Mc tominay, lindelof, Williams etc wote ni watoto wenye potentials kubwa sana.

4. Attitude na cultural reboot
Ili timu ifanye vizuri inabidi iwe kitu kimoja tofauti na mkuu mc cane na vijarida kama Men sasa hivi kuna ushahidi wa kutosha timu yetu ni kitu kimoja, hao kina pogba wanaopondwa ni big figure katika dressing room, nimeangalia interview nyingi sana za wachezaji mbali mbali kuanzia watoto mpaka wakubwa na wote wanamshukuru pogba kwa kusettle kwenye club na anavyowasaidia mpaka kublend kwenye kikosi.

Attitude za wachezaji wengi sasa hivi zipo vizuri wachezaji wanaoumia timu ikifungwa, japo si jambo zuri majeruhi ya Rashford, pogba na Mc tominay lakini unaona wachezaji wapo tayari kucheza na maumivu kwa ajili ya Timu.

Sasa hivi kikosi chetu bado kama wachezaji wawili tu na tutakuwa na 1st eleven Winger wa kulia aka Jadon sancho position na Kiungo mkabaji mmoja tayari tutakuwa na uwezo wa kupambana na yoyote,

Tukisha kamilisha hapo ndio tunaanza sasa ku improve kikosi kwa kuleta wachezaji wazuri zaidi.
 
Nilikuwa sijui mkuu kumbe Young Player of the Year, kiswahili chake ni mchezaji Mtoto wa Mwaka


Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kupindisha maneno mkuu lakini ujumbe umefika

Hata mata tunamuita babu ama mzee haimaanishi kwenye real life ni mzee ila kikawaida kwenye soccer mchezaji akiwa 30+ tunamuita mzee.

Na kwa watoto ni hivyo hivyo chini ya miaka 23 ni watoto, haimaanishi bado wanatoka makamasi na kunyonya kwa mama zao, ina maanisha ni watoto kwenye soka.
 
Jambo hili limenitia mashaka ama kwa hakika.
 
Sio mtoto bhana, ndio maana mimi nikasema "watoto" lakini wewe ukakomalia kwamba ni watoto kitu ambacho si kweli,

Nipe email adress yao niwatumie sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, J3 tuna game muhimu sana (must win)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambano litakuwa ni World Class
 
Ole ni kocha mzuri katika kukuza vipaji vya wachezaji wachanga. Uwezekano wa kuwa kachukua charsma ya philosophy kwa baba yake fergie katika kuwasoma wachezaji wake ni kweli. Shida ninayoiona kwa ole ni diplomasia yake imekaa kinafki sana anapokuwa kwenye press conference. Na huo unafki akiundekeza anaweza kufukuzwa kazi na Ed. Kwa sababu Ed huyu hayupo na team sana, ila yeye yupo na matajiri zaidi the glazer's.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi sio naangalia mbali na naona hakuna project hapa zaidi ya kupoteza muda tu....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema vyema ila kwa Pochettino umeharibu.

Tatizo kuu la United ni Management halafu anafuata kocha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha anauza wachezaji wazuri anaacha makapi halafu anakuwa comfortable kabisa kuanza msimu na kikosi chembamba.

Halafu leo tunaombana tumpe muda. Muda upi anaotaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wagonjwa wanaosubiriwa wapone na ligi nayo inawasubiri?

Wasipopona? Huoni msimu utaisha tupo nafasi ya 10?

Na msimu ujao wakiumwa tena? Si yatakuwa kama ya msimu huu?

Hii inaonesha kuna tatizo United.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Van gaal kaingia fainali 3 za ulaya mfululizo rekodi yake ikavunjwa juzi na madrid na kabla ya kuja kwetu alikuwa na fainali ya karibuni, Mou kabeba mara 2 Uefa tena mara moja na FC porto timu ambayo huwezi kutabiri.
Van Gaal ameifundisha United na muelekeo ulikuwa unaonekana. Falsafa ilikuwa clear.

Alitakiwa apewe muda ila Hakupewa nafasi.

Tukija kwa Mourinho the same. Ametupa Europa. Alikuwa anajua nini anataka na jinsi ya kufikia malengo yake. Mapungufu ya timu aliyaona na akayasema wazi.

Ole yeye ni yes sir coach. Hana clear formation, hajui hata nini anachofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…