Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Professionals gani unaowazungumzia mkuu, umemkandia sana jamaa kwa kutoa mawazo yake ila hao professionals si wangesolve injury crisis ndani ya kikosi mbona wamefeli? Pia huyo chain ya decision making haijafuatwa hakuna timu itakayoruhusu majeruhi aliyefanyiwa surgery week 2 asafiri ovyo kama kawaida yangu pogba.....

Umesahau alikuwa anach za basketball hadi world of football wakamhoji ole mbona pogba mzima anacheza basket USA.....

Project ya Ole ni failure kwa asilimia 80 mpaka sahizi kwa saini alizofanya na ujinga wa kuuza striker sioni anapitupeleka, huoni Daniel James anastruggle now hii ni failure of tactics recognition kwa mchezaji yani Daniel hajui hata tunatumia tactics gani ndio maana anakimbia kimbia tu......

Ile anategemea personal brilliance ya mchezaji na sio uwezo wake wa tactics mbona tunashika namba 9 now kana project ingekuwa unafanya kazi bas angalau hata top 5 tungekuwepo.... Mkuu Mc cane tupo pamoja katika hili Ole ni failure na pogba ni failure anayejificha katika majeruhi wanavyobuy muda wa kumtafutia chaka lingine.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ni facts tu Ole amejificha kwenye kichaka cha rebuild but uwezo hana mbona hatuna tactic inayoeleweka hata ule ushindi wa PSG ilikuwa ni personal brilliance ya mchezaji mmoja mmoja tu.....

Mimi naamini hili la city kufungiwa kucheza champions league wote tunefurahia kasoro Ole maana hata uwezo wa kumaliza nafasi ya 5 hana na tukiweka Mapenzi ya timu pembeni, naamini hatuwezi kumaliza hata namba 6 maana kuchanga karata za gane zofauti hatuwezi alafu mtu anajisifu eti right track..... wewe umepigwa na adui yako namba moja alafu unajisifia vile ni ujinga....... Possibly man u tunamaliza namba 7 au 8 msimu huu save this comment tutakutana may

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wasikamie kila game regardless wanacheza na nani
Ole ni mbovu kimbinu. Kushinda mechi kubwa haimaanishi yeye ni bora kimikakati,wakati mwingine ni kukamia tu game kunatupa ushindi. Kwa hiyo kitendo cha kushinda hizo game ulizosema hapo inamaanisha ogs ana mbinu zaidi ya hao makocha alowadindishia!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poch ni trophiless manager, LAKINI

1. Poch ana clear way of playing (falsafa) , na ni attractive football na anashinda. Ole amekuwa akiongelea identity ya United, lakini hiyo identity uwanjani (sio administratively) anayoongelea hajulikani ni ipi

2. Poch ameshiriki UEFA miaka yote ambayo amekuwa Spurs with very limited bubget, kuna misimu kama 3 hakusajili kabisa. Na kwa sasa United lengo letu kubwa si UEFA? (angalau, malengo ya Ed). Mimi binafsi naamini malengo yetu yanapaswa kushinda kombe na Poch anaweza kushinda. Kwani Pep, Jose, Klop, Sari kabla ya kushinda makombe yao ya kwanza walikuwa wameshinda?

3. Poch amefanikiwa kwenye ligi ya Uingereza, akiwa na Southampton kisha akiwa na Spurs, Ole Uingereza amevuna aibu akiwa Cardiff na sasa United. Kumfananisha Ole na Poch ni kumtukana Poch

4. Ingekuwa Ole anafanya jambo linaloonekana tungesema apewe muda, sasa hivi apewe muda ili afanyaje, aendelee kuharibu timu, najua hapa kuna baadhi ya watu watabisha lakini ukweli ni kwamba United tunakikosi ambacho kipo 3 bora (kwa kuangalia mchezaji mmoja mmoja) lakini mpira wa timu ya Sheffield United, Leicester ni mzuri kuliko wetu. Second/Third highest wage bill in the world squad ni ya United, lakini chini ya Ole wanarukaruka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Poch hajashiriki misimu yote Uefa, msimu wa kwanza alimaliza wa tano na alifika Fainali ya cup moja kama ole Tu. Chengine watu wanasahau Spurs tayari ilijengwa, poch amerithi kikosi kizuri na tayari walikuwa wameshiriki Uefa mara kadhaa, wakati poch anapewa Timu tayari hawa watu wapo Spurs

Hugo lloris, Harry kane, Vertoghen, Eriksen, Dembele, lamela, Dier, Walker, Rose etc

Poch ni kocha mzuri na ana vitu ambavyo vinaashiria anaweza kuwa success united ila hakuna Guarantee yoyote kwamba atafanikiwa, siamini pia kama ana uwezo kushinda Mou na LVG.

Na So far ole ameshafanikiwa mambo mengi japo matokeo hayajakuwa ya kuridhisha kuna positive nyingi za kuongelea.

1. Wachezaji wote tuliokuwa tunawaita deadwood wanaondoka mmoja baada ya mwengine, ama hawapati namba kabisa kina Felaini, Young, sanchez, chuckles brothers etc

2. Usajili so far ni almost perfect, hatujapata wachezaji wote tunaowataka ila kila mchezaji anaekuja ni mtu anaejua maana ya kuchezea United, taratibu lakini uhakika.

3. Attitude ya timu imebadilika na dressing room limetulia husikii watu wakilalamika na wachezaji wana furaha

4. Viwango vya wachezaji vimekuwa majority ya Timu, mchezaji kama Rashford anafananishwa na Kina Ronaldo na Messi Top scorer wa watoto ligi zote, Mc tominay, fred, James, Bissaka, williams, greenwood etc wapo form of their life na wote hawa bado ni wadogo sana wana miaka mingi sana mpaka kufikia potentiat zao.

Ngoja hichi kikosi watu wapone na dozi za goli 4 zitaanza tena Haters wengi utaona na wao wanabadili gear angani, nature ya jukwaa letu.
 
Lakini Poch huyo huyo, kaifikisha Tot fainali ya UCL.
 
Van Gaal na Mourinho walikuwa na record bora zaidi kuliko Poch.

Kuanza rebuild kwa gambling kama hii ni heri kuendelea kusubiri Ole azoee kufundisha timu kubwa.

Nitakubaliana na project mpya from a proven manager with silver wear kama Allegry ila siyo Pochetino.
Lakini Poch huyo huyo, kaifikisha Tot fainali ya UCL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanini unapenda kuongea vitu ambavyo sivyo

1. Rashford "mtoto", top scorer wa "watoto" (22 years of age) , sitatafuta wengine, tubaki kwa Haaland tu (19 years), Haaland amemuacha mbali sana Rashy kiufungaji kwa msimu huu

2. The squad is happy, the squad is united, hii ni myth ambayo OGS anawalisha mashabiki matango pori. Nani asiyejua kirusi is not happy at United, he want to leave, nani asiyejua Matic is not happy na bila midfield crisis tuliyoipata December mpaka January, sasa hivi angekuwa Atletico au Inter. Fred juzi ameteleza kuwa kuna wachezaji wa binafsi na kikosi kina matatizo mengi sana, leo unataka tu kuamini wewe na sio Fred.

3. Poch ameiingiza timu top 4 (isipokuwa msimu wake wa kwanza), ameiingiza timu top four mara 4 katika ya misimu 5. Kabla ya Poch kutua Spurs, kwa miaka 22 iliyopita Spurs iliingia top four mara 2 tu, unasemaje kwamba Poch aliyofanya ni ya kawaida

4. Poch ameiingiza Spurs fainali ya UEFA, tangu kuumbwa kwa Spurs haijawahi kufikia hayo mafanikio, hapa Poch anafananishwaje na Ole. Ole na Poch ni ardhi na Mbingu Mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanini unapenda kuongea vitu ambavyo sivyo

1. Rashford "mtoto", top scorer wa "watoto" (22 years of age) , sitatafuta wengine, tubaki kwa Haaland tu (19 years), Haaland amemuacha mbali sana Rashy kiufungaji kwa msimu huu
Waandikie email uefa, Fa etc hao ndio walioeka sheria kwamba mchezaji akiwa na miaka 23 kushuka chini anahesabiwa kama Mtoto, na rashford atagombea tuzo za watoto.

Unaendeleza chuki zako kwa Ole na Pogba

For your infromation Matic anaomba aongezewe mkataba na ana furaha man utd

Nipe source moja tu kwamba matic hana furaha, source inayoeleweka sio vile vijarida vyako vya uchochoroni kama Men.

3. Poch ameiingiza timu top 4 (isipokuwa msimu wake wa kwanza), ameiingiza timu top four mara 4 katika ya misimu 5. Kabla ya Poch kutua Spurs, kwa miaka 22 iliyopita Spurs iliingia top four mara 2 tu, unasemaje kwamba Poch aliyofanya ni ya kawaida
Sasa mkuu huoni ufananisho wako sio fair? Poch msimu wake full ameshindwa kuifikisha Spurs uefa ila akaweza msimu unaofuata, same kwa Klop hivyo hivyo ila Ole peke yake ndio tumhukumu kwa msimu wa kwanza? Spurs wangekuwa kama wewe wakamtimua poch msimu wa kwanza leo wangekuwa wapi?

4. Poch ameiingiza Spurs fainali ya UEFA, tangu kuumbwa kwa Spurs haijawahi kufikia hayo mafanikio, hapa Poch anafananishwaje na Ole. Ole na Poch ni ardhi na Mbingu Mkuu



Sent using Jamii Forums mobile app
HATA molde walikuwa hawalijui kombe, ronaldo alikuwa halijui goli, Academy ya Man U ilikuwa haitoi products za maana kwa muda ila ole akafanikisha kabla ya kuwa kocha mkuu Utd.
 
Mc cane,
Tujitahidi tuwe hata wa 5 basi

Hahahaa duh! Hata hvyo the official statement said they (Manchester City) have an option to appeal.
 
Mimi nilishaweka msimamo wangu humu, kama anakuja Dof na tunaweka vision mpya na anaona ole hafit vision yake then kwa moyo safi kabisa Akiondoka ole nitakubali.

Ila kugamble tena na poch na kuamini ni bora kuliko watangulizi wake ni hatari sana.

LvG alikuja na vision yake na philosophy yake tukamuangusha na kusajili tunavyojua sisi, same kwa mou.

Sasa hivi tuna vision ni vyema tuendelee nayo long term matunda yatapatikana.
 

Umemjibu vizuri sana huyu jamaa. Maana ni mbishi kinyama halafu hanaga hoja na sources za ukweli yeye kila siku nikuponda tu Ole na Paul.
Utasema anaijua Manutd kuliko Man united yenyewe inavyojijua.
Ole ndo msimu wake wa kwanza Hutu tayari jamaa kashaanza kumpiga vita. Anasahau lengo ni kufanya rebuilding ya muda mrefu.
 
1.Hiyo tuzo inaitwaje, ili tuone kama hao UEFA wanaiita ya watoto au kuna mbongo mmoja huku ameamua kuiita tuzo ya watoto. Nitajie hiyo tuzo ya watoto namna inavyoitwa tafadhali, Baada ya hapo nitaomba unipe email adress yao ili niwaandikie

2. Mimi siwezi kumfananisha Poch na OGS maana hawafananishiki, hiyo bajeti tu aliyoitumia OGS kwa msimu mmoja ni kufuru, Poch atakuwa ametumia kwa miaka kadhaa

3. OGS level sio premier League wala championship mkuu, jamaa ana uwezo mdogo sana kwenye kufundisha soka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ligi kuu ya Norway ni sawa na League 2 ya Uingereza, kuhesabu kombe la ligi Norway kama mafanikio ukifananisha meneja aliyetinga fainali UEFA ni kujichanganya



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mfano mzuri ni hapa hapa ligi yetu pendwa ya Uingereza Pfa young player of the year, hawa wameshaibeba wakiwa na miaka 20+ mpaka 23
1. Rahim sterling kabeba msimu uliopita 2018/2019 sterling ameanza 2018 akiwa na miaka 23 na december 2018 akatimiza miaka 24 lakini sababu tu miezi michache kacheza akiwa na miaka 23 akabeba tuzo.
2. Gareth bale miaka 23
3. Ronaldo miaka 22
4. Sane 22 etc

Unaweza angalia list hapa

Na sio msimu huu tu hata mwakani Rashford bado atakuwa regarded kama young player.

Evidence nyengine ni kama
-olympic miaka 23
-Ligi za watoto/reserve miaka 23 (premier league 2)
-mpaka Africa kuna Afcon under 23
-Asia u23 etc


Wasiliana na uefa hapa peleka malalamiko yako
 
Wewe ndio una source? Source yako ni chief mkwawa? Wewe unajua hata maana ya source

Kila Ninachosema nimekitoa kwenye source kijana, mimi sio genius niweze kutunga haya yote ninayoandika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hivi tuna vision gan mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…