MANU sidhani kama kuna wa kuwasimamisha tena msimu huu. Sasa hivi ni kuwania tu nafasi ya pili, tatu na nne lakini EPL Champion for 2012/2013 season is already known.
MANU sidhani kama kuna wa kuwasimamisha tena msimu huu. Sasa hivi ni kuwania tu nafasi ya pili, tatu na nne lakini EPL Champion for 2012/2013 season is already known.
I know it ana nia nzuri tu kwa ajili ya mechi ijayo ila sub za beki wakati mwingine ni noma kwa kuwa beki mpya anaingia bado damu haijachanganya vizuri so anaweza kujisahau na kuleta madhara
I know it ana nia nzuri tu kwa ajili ya mechi ijayo ila sub za beki wakati mwingine ni noma kwa kuwa beki mpya anaingia bado damu haijachanganya vizuri so anaweza kujisahau na kuleta madhara