Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba alitaka kuondoka, mbona OGS amembakisha mkuu

Tena Pogba ameonesha hivyo publicly kabisa

OGS partly ana makosa, isitoshe alimuonesha Lukaku kwake sio muhimu ndio maana Lukaku akaona his time at Man Utd was up
Sent using Jamii Forums mobile app
 
unavyoongea wewe ni habari za nje za ndani unazijua? unajua mazingumzo ya ole na pogba walivyoongea na walivyokubaliana?

lukaku alidraw line alivyoanza kukosa adabu kwenye pre season akaanza kufanya mambo mengi ikiwemo kuvujisha data za mazoezini hivyo akahitimisha career yake kwetu. kwa ole dressing room ni muhimu sana kwake ndio maana timu yetu sasa hivi ni kitu kimoja wachezaji wanapendana na wapo tayari kuteteana uwanjani.

huyo pogba mnaemponda amecheza na majeruhi mechi sijui ngapi december, mchezaji asiyetaka kukaa man U asingecheza na maumivu angekubali ile operation mapema ili ajiandae awe fit kwa ajili ya timu yake ijayo.
 
Yaani tunashindwa kupiga pass za uhakika kweli, tunapoteza mipira kirahisi mno, sielewi OGS mazoezini uwa anawafundisha nin? sterling katukosa goli la wazi

LVG angekua na hiki kikosi i beliv tungekua moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu bhana inakufanya baadhi ya siku ujione una timu, siku nyingine bure kabisa

Brilliant performance Maguire, fantastic performance Degea, Matic, Fred

Wonderful team performance especially when we were one person deficient, but it was not enough

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila hapo kwenye pasi kwakweli huwa nashangaa. Timu haiwezi kabisa hata kupiga pasi 20 za uhakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa elewa kwann mpaka sasa OGS hajafukuzwa? Hakuna cha rebuilding hapo, anaipotezea muda club tu

Leo city wangekua makini wangefunga magoli si chini ya mawili

Yaani kuitazama Simba Sc ni raha zaidi kuliko kuitazama man utd ya OGS ndio maana sishangai fans kutaka kumtoa roho yule Woodward

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure Maguire kasimama sana as Team Captain..

Team Work spirit was very high.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
toka msimu uanze mechi 25 sisi na wolves pekee ndio tumeweka cleansheet na man city, na tumemfunga back to back etihad, united spirit
 
Wewe sio shabiki wa MAN U.

Hebu iambie nafsi yako ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nothing special..

Maguire atleast leo ameonyesha umwamba..

We were lucky kutokufungwa

Hivi Ile faulu kwa nini hakupiga Mata??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…