Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna kundi lolote kubwa la mashabiki ambalo lipo against na Ole.

Si watazidisha moto kwa bodi na Management so ole atakosa kazi maana kuimprove kiwango cha timu tunahitaji mwalimu wa kueleweka. Huyu Ole ovyo nadhani sasa management itaelewa ni kanafiki kama angekuwa anaongea ukweli nyuma ya Ed isingevamiwa.


So now wanajua anachoongea sio ukweli baada ya kuona hasira za mashabiki wanaoona no improvement.
 
mashabiki hawataki kocha, wanataka mabadiliko ambayo hayana mahusiano na kocha. wakimfukuza ole watakuwa ndio wamemimina kabisa petroli fujo itazidi.
 
Mkuu fujo gani zitaongezeka? Mimi naona akiondoka shangwe zitaongezeka. Ni kocha gani mwenye akili timamu akamuona Martial ni wa maana kiliko Lukaku.!
mashabiki hawataki kocha, wanataka mabadiliko ambayo hayana mahusiano na kocha. wakimfukuza ole watakuwa ndio wamemimina kabisa petroli fujo itazidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GGMU

Tumepata matokeo mazuri miaka recently hapo Etihad..let's hope uchawi utaendelea..
 
Hili likocha pumbavu MATA ni muhimu sana leo.

Kama hamniamini ngoja muone ubnafsi wa Lingard akipiga yeye golini bila kutoa pasi. Pumbavu sana ole.
 
mashabiki hawataki kocha, wanataka mabadiliko ambayo hayana mahusiano na kocha. wakimfukuza ole watakuwa ndio wamemimina kabisa petroli fujo itazidi.

Ona huyu Lingard kwenye First Eleven kocha anajielewa unaacha Mata?

Game muhimu hii sio Tranmere.
 
OGS nilimuona kituko pale aliposema "Sanchez will prove you all wrong"


Na ni yeye ndiye aliyemtoa kwa mkopo, kwa hiyo atam prove na yeye wrong au?

Jamaa sasa hivi amekuwa anaongea vitu asivyoamini
Mkuu fujo gani zitaongezeka? Mimi naona akiondoka shangwe zitaongezeka. Ni kocha gani mwenye akili timamu akamuona Martial ni wa maana kiliko Lukaku.!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…