Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haina maana kulalamikia kila jambo, ni kweli timu inazingua especially hierarchy na kocha, lakini haimaanishi kila kitu kisimame

Kuna watu huwa ninawaambiaga ikifika hatua naogopa hata kuangalia mechi yangu, ni bora niache ushabiki wa mpira. Tu mashabiki kwa ajili ya enjoyment, kama hamna enjoyment kwanini niendelee kushabikia mpira

Nikiwa shabiki nipo OT uniambie nitoke nje ya Uwanja ili kutuma ujumbe kwa Glazers & Co. nitakuelewa, sasa unaniambie niache kuongelea kinachoendelea kuhusu United what for? Will it help?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly

Pamoja na ubovu wa Ole, akipata wachezaji wazuri timu ita improve kiuchezaji na tunaweza kuingia top 4

Na tukiwa top 4 tunakuwa na uwezo wa ku attract top manager na top players

Sasa kuna watu wengine wanaongea kana kwamba timu isiwepo na ipotee kwenye uso wa Dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ole Gunnar Solskjaer has called for patience as he looks to rebuild his squad and believes rivals Liverpool are an example to follow.
#Chanzo: Sky Sports

"Tuwe wapole ndugu zangu,hiki nikipindi cha mpito tu"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwakumbushe wanaodhan man u Leo anashinda kirahis ,na wamebeti , huo uwanja anaoutembelea man u Leo ni sawa na manungu turiani wa mtibwa , Watford kalambwa hapo hapo wanabak wanalalamika ,uwanja ni mbovu , wenyeji wanaujulia , hivo natoa angalizo mapema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…