Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Haina maana kulalamikia kila jambo, ni kweli timu inazingua especially hierarchy na kocha, lakini haimaanishi kila kitu kisimame
Kuna watu huwa ninawaambiaga ikifika hatua naogopa hata kuangalia mechi yangu, ni bora niache ushabiki wa mpira. Tu mashabiki kwa ajili ya enjoyment, kama hamna enjoyment kwanini niendelee kushabikia mpira
Nikiwa shabiki nipo OT uniambie nitoke nje ya Uwanja ili kutuma ujumbe kwa Glazers & Co. nitakuelewa, sasa unaniambie niache kuongelea kinachoendelea kuhusu United what for? Will it help?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu huwa ninawaambiaga ikifika hatua naogopa hata kuangalia mechi yangu, ni bora niache ushabiki wa mpira. Tu mashabiki kwa ajili ya enjoyment, kama hamna enjoyment kwanini niendelee kushabikia mpira
Nikiwa shabiki nipo OT uniambie nitoke nje ya Uwanja ili kutuma ujumbe kwa Glazers & Co. nitakuelewa, sasa unaniambie niache kuongelea kinachoendelea kuhusu United what for? Will it help?
nimependa ushauri wako. Timu inapita katika nyakati ngumu ni muda wa mashabiki kufarijiana, na sio kutakana na kukandia timu.
Ukisema utukane kuanzia wachezaji, kocha, mgt yote itasaidia nini sasa?
Kuna siku flani mwaka juzi nilikuwa bar flani naangalia mechi ya ARSENAL NA LIVERPOOL.
Kukazuka ugomvi baina ya mashabiki wa ARSENAL na LIVERPOOL. Kuna mzee wa umri kama miaka 60's akawa anasema
Sasa nyie mnataka kupigana na kuuana hapa wakati timu yako unayoishabikia ipo uingereza wala hawakufahamu, na hata ukifa hapa timu haiwezi kukupa msaada.
Si bora ukagombane kule uwanja wa taifa kwenye mechi ya SIMBA na YANGA, hata ukiumia management na wachezaji wanaweza kusema huyu mzee tulimuona jukwaani anapambania timu yake wakakupa pole.
Haya basi uaneni hapa tuone kama hiyo Liverpol na Arsenal itakuja kukupa msaada.
Sent using Cash Money Wings
Sent using Jamii Forums mobile app