Niliangalia mzee, mlishindwa kuwafanya Arsenal wawe na hofu kuwa wakisogea wanakula.
Mechi yetu na Wao sidhani kama hata timu yetu ilicheza soka la kueleweka hata robo ya soka tulilocheza na Liverpool.
Yet uko Stamford bridge, no auba, no luiz mnazidiwa nguvu.
Basi Arteta yuko vizuri kimbinu.