Daaa kikosi cha leo mkuu tutampa lawama rashford na de gea hiv ndivyo wachezaj wanavyoharibika kisaikolojia wakienda timu zingine wanafanya poaAngalia Mkuu, usipoangalia utadanganywa
Nimeona kuna mtu alileta longolongo humu eti Guardiola kasema kuliko kuifundisha United, bora aifundishe timu ya taifa ya Maldives, ukamchana
Humu kuna watu waongo waongo sana, wanachukua kaukweli flani, wanachanganya na uongo mkubwa kutengeneza story uchwara
Mimi naangalia kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kati anacheza Jones, tuna maisha magumu sanaKwa kikosi cha leo naona mkono tunakula mengine tumwachie Mungu tu
Post hii hapaAngalia Mkuu, usipoangalia utadanganywa
Nimeona kuna mtu alileta longolongo humu eti Guardiola kasema kuliko kuifundisha United, bora aifundishe timu ya taifa ya Maldives, ukamchana
Humu kuna watu waongo waongo sana, wanachukua kaukweli flani, wanachanganya na uongo mkubwa kutengeneza story uchwara
Mimi naangalia kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii zimenipa nguvu kwa mara ya kwanza nimeogopa kuangalia timu yangu ila mliposema matokeo yoyote fresh ni burudani wacha nicheki ila panado muhimu kuwa nazo.Itakuwa full burudani
Ile gemu ya ligi nilikuwa na kiimani flani kwamba tunaweza kufanya kitu,ila hii nimeamua tu niangalie burudani,whatever the result,mimi sina shida
Itakuwa full burudani
Ile gemu ya ligi nilikuwa na kiimani flani kwamba tunaweza kufanya kitu,ila hii nimeamua tu niangalie burudani,whatever the result,mimi sina shida
Daaa kikosi cha leo mkuu tutampa lawama rashford na de gea hiv ndivyo wachezaj wanavyoharibika kisaikolojia wakienda timu zingine wanafanya poa
Goal zuri sana,bora waongeze lingine mpira upendezeGoli jepesi sana.