Ila mchezaji wa soka unafaa uwe mvumilivu aisee.....kati ya wachezaji wa man u ambao hawapaswi kulaumiwa msimu huu ni Rashford... Nadhani kawapa pointi za kutosha msimu huu... Eti mchezaji wa mechi kubwa kwan ana magoli mangapi alipocheza na timu kubwa msimu huu...?