Kiungo wa kati wa Real Madrid na Ujerumani Toni Kroos, 29, huenda akahamia Manchester United kama sehemu ya mkataba wa kumpeleka Paul Pogba, 26, katika klabu hiyo ya Uhispania. (Sun)
Juventus inapani akumpatia kiungo wa Ufaransa Adrien Rabiot, 24, katika makubaliano ya kubadilishana wachezaji na pesa kwa mchezaji wao wa zamani,Pogba. (Sun)