Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HUYU KOCHA MZITO SANA KUFANYA SUB, MAGUIRE KAUMIA ANACHECHEMEA, MPAKA COMMENTETOR WANASEMA ATAUMIA ZAIDI NA ATAMISS MECHI ZIJAZO. AMPUMZISHE MAPEMA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiungo wa kati wa Real Madrid na Ujerumani Toni Kroos, 29, huenda akahamia Manchester United kama sehemu ya mkataba wa kumpeleka Paul Pogba, 26, katika klabu hiyo ya Uhispania. (Sun)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…