Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ana a lot of high profile mistakes,

Trust me, kosa la juzi halitakuwa la mwisho

Why Degea and not Romero, jibu ni simple huwa ni ngumu kum drop starter kwenye timu, hasa kwa makocha waoga waoga na wanaoogopa wachezaji kama OGS

Na mimi nikuulize, why Degea siku hizi baadhi ya mechi za Spain haanzi na anaanza Kepa (kwanini Degea siku hizi hana uhakika wa namba Spain)

Romero ana uwezo, na ame prove kwenye mechi nyingi kuwa ana uwezo

Kuna ule msimu ambao Degea alikuwa anataka kwenda Madrid, LVG alikuwa anamuanzisha Romero (mpaka Degea aliposaini mkataba mpya) na jamaa alidhibiti lango vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa Roy Keane sipati picha sekeseke litakalotokea chumba cha kubadilisha nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ungese kwelikweli mechi kibao adake DDG, sijui kama tutachukua Yuropa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial auzwe tu hana jipya.
Ikiwezekana arudishwe Monaco tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HUKO kwenye Twitter kumenoga. Mashabiki wa Manchester United wameamua kuisambaza kwa kasi kubwa, hashtag ya “#OleOut” baada ya kikosi chao kuchapwa Mbili Bila na timu inayoburuza mkia kwenye ligi, Watford.
Mabao ya Ismaila Sarr na Troy Deeney, aliyefunga kwa penalti yalitosha kuifanya Watford kushinda mechi ytao ya pili msimu huu, lakini wakiendelea kusubiri mkiani kwennye msimamo wa Ligi Kuu England.
Mashabiki wa Man United wanamtaka kocha Ole Gunnar Solskjaer aondoke kwa sababu anawavuruga tu, hawamwelewi. Amekuwa mtu wa sura mbili. Solskjaer wa mechi kubwa na Solskjaer wa timu ndogo. Ni watu wawili tofauti kabisa. Kwenye Ligi Kuu England msimu huu, Man United imecheza mechi 18 hadi sasa, kwenye mechi hizo imeshinda sita, sare saba na vichapo vitano. Kwenye mechi zao walizochapwa, zote na timu ndogo. Kwenye sare saba alizopata kocha huyo msimu huu, mbili tu ndio za timu kubwa, Liverpool na Arsenal, lakini nyingine zote ni za timu ndogo. Hiyo ina maana, Man United imeboronga kwenye mechi 10 ilizocheza na timu ndogo. Wamevuna pointi tano tu katika mechi hizo. Kwenye ushindi wao wa mechi sita, mbili tu ndizo walizovuna kwenye mechi dhidi ya timu ndogo, hiyo inamaana katika mechi 12 walizocheza dhidi ya timu ndogo, wamevuna pointi 11 tu. Dhidi ya timu kubwa, Man United imeshinda mechi nne na kutoka sare mbili. Imezichapa Manchester City, Chelsea, Tottenham na Leicester City, wakivuna pointi 12 hizo na sare mbili dhidi ya Liverpool na Arsenal kufanya jumla ya pointi 14, ambazo wamevuna kwenye mechi dhidi ya timu kubwa. Hii inaonyesha Man United ya timu kubwa ni tofauti kabisa ya ya timu nndogo.
Kingine kitu cha ajabu kuhusu Solskjaer ni kwamba kwenye mechi sita ambazo wameshinda, ni moja tu waliyomiliki mpira zaidi ya asilimia 50, wakati walipoichapa Norwich City 3-1 na kumiliki mpira kwa asilimia 53.9. Walipoichapa Man City 2-1 walimiliki mpira kwa asilimia 28.1, Brighton 3-1 walimiliki kwa asilimia 42.7, Tottenham walipowachapa 2-1 walimiliki mpira kwa asilimia 46.6 na Leicester waliwachapa 1-0 na walimilii kwa asilimia 41.7 na Chelsea walipowapiga 4-0 walimiliki mpira kwa asilimia 46.3.
Ajabu kwenye mechi walizopigwa, zote United imemiliki mpira kwa asilimia nyingi, zaidi ya 50. Walipochapwa na Crystal Palace walimiliki mpira kwa asilimia 71.3, na West Ham walipolala 2-0 walimiliki kwa asilimia 53.5, dhidi ya Newcastle walipochapwa 1-0, walimiliki mpira kwa asilimia 68.1 na walichapwa 2-0 na Watford, United walimiliki mpira kwa asilimia 64.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pogba katengeneza chance tatu dk 13 mnataka awafanyie nini? Nachomsikitikia anacheza na wachezaji wa kawaida sana anamletea greenwood mguuni kugusa juu akashindwa
 
Punguza chuki kwa Pobga, He was our best player that day..

Pogba this Pogba that.. Imagine angekua ndio kafungisha au kakosa clear chances. Pogba is not our problem.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NdWhat s our prolem?
Punguza chuki kwa Pobga, He was our best player that day..

Pogba this Pogba that.. Imagine angekua ndio kafungisha au kakosa clear chances. Pogba is not our problem.

Sent

What s our prolem?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…