Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Ana a lot of high profile mistakes,
Trust me, kosa la juzi halitakuwa la mwisho
Why Degea and not Romero, jibu ni simple huwa ni ngumu kum drop starter kwenye timu, hasa kwa makocha waoga waoga na wanaoogopa wachezaji kama OGS
Na mimi nikuulize, why Degea siku hizi baadhi ya mechi za Spain haanzi na anaanza Kepa (kwanini Degea siku hizi hana uhakika wa namba Spain)
Romero ana uwezo, na ame prove kwenye mechi nyingi kuwa ana uwezo
Kuna ule msimu ambao Degea alikuwa anataka kwenda Madrid, LVG alikuwa anamuanzisha Romero (mpaka Degea aliposaini mkataba mpya) na jamaa alidhibiti lango vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me, kosa la juzi halitakuwa la mwisho
Why Degea and not Romero, jibu ni simple huwa ni ngumu kum drop starter kwenye timu, hasa kwa makocha waoga waoga na wanaoogopa wachezaji kama OGS
Na mimi nikuulize, why Degea siku hizi baadhi ya mechi za Spain haanzi na anaanza Kepa (kwanini Degea siku hizi hana uhakika wa namba Spain)
Romero ana uwezo, na ame prove kwenye mechi nyingi kuwa ana uwezo
Kuna ule msimu ambao Degea alikuwa anataka kwenda Madrid, LVG alikuwa anamuanzisha Romero (mpaka Degea aliposaini mkataba mpya) na jamaa alidhibiti lango vizuri tu
Duh! Leo umeamua kumuwakia De gea,
Mtizamo wangu, kosa la jana ni la kawaida kama mwanadamu. Lakini pia usisahau, umaarufu wa De gea kama GK ni saves zake za maana kwa UNITED. Unadhani kwa nini si Romero?
Usiteme Big G kwa karanga za kuonja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app