Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya haya maisha yet Haya haya maisha yetu ya kauka nikuvae. Striking force ipo vzr, backline ipo poa, tatizo namba ya mata,lingard, hii jamba kumi haina mtu kabisa. Mchezaji huyu wa kuforce kingi. Namba 8 na namba 10 hakuna.
 
Umesahau kipara mmoja aliletwa mwaka mmoja tu. Mswedesh flan. Lkn pia kumleta haalaand sio vby, mradi tu aje na mzoefu mwingine.

Matangazo ya biashara yanahitaji watu kama haalaand Erling kwa sasa, narudia kwa sasa, kama ambavyo wengi hawajui, pogba anatumika kibiashara zaidi. Ndio maana timu inashinda bila yeye, lkn kibiashara, ni muhimu Kumbukeni United ipo kisoka na kibiashara. Luninga zinategemea sana utd icheze waonyeshe streaming pesa iingie, majuzi ndani ya miezi miwili, nilifanya utafiti, kila bar niliyoenda mechi zaUnited zinapigwa ban, hotels nikiingia, home dstv kifurushi hola, lkn baada ya kuwachapa chelsea, drawn na Liverpool, kushinsa mech za europa, naona kwenye bar zile zile heshima imerudi, hata supersport 3 wanaonyesha eed devol marches.

So mchezaji atakaeuza jezi, matangazo ya makampuni makubwa kama adidasi, chevel, nk lazima ahit soko Erling usishangae anaandaliwa kubeba mikoba ya Pogba kama MAIN MAN. Ili mchezaji awe main man lazima alikonge soko la mpira, akija Erling bila mzoefu mwingine say lewandosky au Manduzukic ni sawa na bure. Mchezaji kama MacTommary unashangaa anazunguka vzr box to box lkn kibishara, hadi auzwe millions of pounds, ndio awe maarufu na beinkuuubwa matangazoO kibao. Nionavyo mm mah city, Liverpool na Chelsea zilipofikia zingeuza sana. Lkn man utd ametetereka lkn akirejea anauza zaidi kwenye soko tatizo manager morinyo chizi anagombanisha wachezaji, management jamaa kocha mzur lkn msengerua sana. Ogs namuona anaelekea, hatukani hovyo hovyo.
 
S Sio kwamba Ole Gunner Solsher hakumhitaji au kumpenda Lukaku ni Mentality, discipline tu, tena iliyojengwa na Morinyo misifa..kama Erling ataongeza kitu kimoja tu ajue tu unitd nikupambana tena mpaka mwisho atakuwa sawa, lkn pia kama ataelewa kuwa mfumo wa United ni kupambana mwanzO mwisho ok. Akiwa mvivu atakuwa lukaku mdogo, kama nilivyomuona akiwa Erling basi .
 
Zanzibariani, Huyo babu(He was 35 at a time) mwenye upara sikumtaja on purpose hakukaa muda mrefu alicheza kwa miezi miwili tu mwaka 2007 mwezi wa kwanza mpaka watatu tulimchukua kwa mkopo, Alikuwa anaitwa Henrik Larsson.
Huo mwaka Premier League wali-bend sheria yao kidogo ya utolewaji wa medali kwa timu bingwa kwa kila mchezaji ili kutambua mchango wake baada ya timu kuomba na yeye atengenezewe pia, ambayo inataka ili upewe medali angalau ucheze mechi 10 za ligi.
 
Huyo kipara ni Henrick Larson, alikuja United kwa mkopo kutoka Barca, ilikuwa ni kutoka January hadi summer

Yule ni legend mkuu kwenye soka, sio wa pole pole
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qalw
Eeh mafuriko jamaa hawakutaka kucheza na makinda
[/QUOT

Wale mamalaya wanapigilia balaa. Yaani sijui klop anataka aondoke maana ndio dalili,kufuru anayoifanya...na akiondoka lazima ishuke daraja, mimi man utd bwana. Jigoo hajawahi kupendwa
 
Wasi wasi wangu Halland asije kupewa pressure na media pamoja na mzigo mkubwa atakaobebeshwa.

Bado naamini kama tulimkosa Lewandoski basi huyu dogo akijua United ni Lewandoski nwingine.

Ukiwa atasajiliwa kisha akachezeshwa pamoja na Greenwood na Namba kumi mzuri huenda tukawa na Front three kali sana baada ya kina Rooney, Ronaldo na Tevez au ya kina Rooney, Van Persie na Luis Nani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapiga vipasi elfu moja visivyo na kichwa wala miguu..very boring
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…