Sasa utashanga Mwamba naye anarudi uwanjani mpaka dakika ya 70 ndo anabadilishwa, anaingia Green anafanya game changing dakika ya 78-86 anyway bado itasaidia.......,
Danh hii timu bwana aiseh.. Unaweza sema asenane wametuwekea ka mzizi.. Ila bora tuendelee kuvurunda Ole asepe tu maana sioni timu ikiwa na consistency