Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naamini Wan Bissaka anaweza kubadilika na kuzalisha magoli

After all alikuwa winger ndio baadae akabadilishwa kuwa full back
Na Dalot uwezo wake wa kukaba ni mdogo pia ingawa anaweza kwenda mbele. Nadhani ole anaweza kumjenga Wan akawa fresh tu kwenye kufanya attacking maana kudefend sina shida nae kabisa.
 
Wale Pro-Mourinho mnaweza kuhamia Tottenham....


Nawaonea huruma Sana Tottenham tunaenda kupoteza promising talents ... Ni mara 100 wangemchukua King Kibadeni "Mputa" kuliko huyo mmakonde mweupe kutoka huko Chitoholi ya Ureno.



Nawakumbusha Tu Mou Vita Yangu Na Mou Imeanza Upyaaaaaaa.
 
Unapiganaje vita na mtu ambaye hajui kuwa yuko vitani ?
 
Hahaaa nakumbuka ile siku Mau aliondoka utd ulifurahi sana
 
Yawezekana ni striker na timu yake ilizidiwa sana na hivyo akawa hana namna zaidi ya kufanya pressing tu kwa timu pinzani, usikute jamaa hakujisumbua hata kurudi nyumba kusaidia defence. But all in all ni ngumu sana kukubaliana na hili
dakika 90 bila ya kugusa mpira inawezekana vipi.
jamaa alikuwa anasinzia uwanjani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…