Juventus wanaweza kuwatoa wachezaji wake wanne kwenda Manchester United akiwemo mshambuliaji wa Croatia, Mario Mandzukic, 33, kiungo wa Ujerumani Emre Can, 25, beki wa Italia, Dani Rugani, 25, na kiungo wa Ufaransa, Blaise Matuidi, 32, kubadilishana na kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 26. (Tuttosport, kupitia Sunday Express)
Hahahahahahahahah Beki vilemaHongereni kwa Ushindi jana Klopp alimzidi Guardiola kwa kila kitu uwanjani.
Nilipoona Guardiola kaja kwa 4 3 3 na beki zake vilema nikajua game ilishaisha 3 point tatu kwa Liverpool.
Hahahahahahahahah Beki vilema
Bro yule dg anapiga kweli kunagame nimewahi mcheck kwenye timu yake ya taifa alifunga goli 9 peke yakeMkuu hizo ligi za wanawake , Kuna mtu alikuwa anaitwa Clasjan Hunterer (Siko sahihi kwenye kuandika jina lake)... Aliwahi kufunga magoli 30+ kuelekea arobain kwenye ligi kuu ya uholanzi kwa msimu mmoja ....
Madrid walimsajili kwa mbwembwe akaishia kuwa flop ... so acha kumlinganisha Rashford na hao watoto wadogo.
Sawa mkuu ngoja tuone.Bro yule dg anapiga kweli kunagame nimewahi mcheck kwenye timu yake ya taifa alifunga goli 9 peke yake
Bro yule dg anapiga kweli kunagame nimewahi mcheck kwenye timu yake ya taifa alifunga goli 9 peke yake
Yupo vizuri mkuu angalia kwenye word cup u20 alitoka na goli ngapiSasa na wewe ivi kwenye game ya kweli asa mchezaji afunge goli 9??
Huoni kama ilikuwa ni Rede tu hiyo?
Sasa na wewe ivi kwenye game ya kweli asa mchezaji afunge goli 9??
Huoni kama ilikuwa ni Rede tu hiyo?
ndio mkuu nimeshindwa kulijua hiloKila mwezi huwa mnashinda match moja ya epl mpaka sasa umeshindwa kulijua hilo?
Unatest mitambo au unajifariji?Natest mitamboView attachment 1260874
Bado nawaza ashley young anapataje namba mbele ya brandon william?
Bado hadi muda huu najiuliza Rashford alishindwa vipi kumalizia ile cross ya DJ.
Kati ya wachezaj waliokuwa makini jana basi martial alikuwa hatar sana kila akigusa mpira japo mara chacheTominay 2-0 Martial hajui anafanya nini uwanjani
Hiv unawezaji kulaumu striker kwa timu isiyokuwa na kiungo wa uhakika wa kutengeneza nafasi? Shukur Mungu martial walau ansaidia timu wakina di maria na umwamba wao wamekimbia hapoNAONA HII TABIA YA "KIJINGA" YA HAWA MAKOCHA INAENDELEA, MARTIAL TENA KWENYE "CENTRAL STRIKER" MECHI YA LIGI ILIYOPITA ALIKUWA HAPO NA HAKUPIGA SHUTI HATA MOJA. TUNAPOFIKIA KUWATIMUA HAWA MAKOCHA KUNA WATU WANATETEA...LEO SIKU IMEHARIBIKA TENA, MARTIAL NI LEVEL ZA SOUTAMPTON ANAKAAJE PALE KATI?View attachment 1259591
Naipenda Sana hii team.
Baada ya familia yangu ni Manchester United
#GGMU
January Ole avunje account amlete James Madsson wa Leicester city asaidie kiungo yetuHiv unawezaji kulaumu striker kwa timu isiyokuwa na kiungo wa uhakika wa kutengeneza nafasi? Shukur Mungu martial walau ansaidia timu wakina di maria na umwamba wao wamekimbia hapo
Leceister watakubali kuuza kijana wao wakati wa january kweli ?January Ole avunje account amlete James Madsson wa Leicester city asaidie kiungo yetu
Pogba akipona achezeshwe namba 10 tuone itakuwaje..kama hataweza au kama ataendelea kijimwambafai ndo tuingie sokoni..January Ole avunje account amlete James Madsson wa Leicester city asaidie kiungo yetu