Mimi sidhani kama Mike ana kosa.
Tatizo ni aina ya beki tuliyonayo sasa.
Evans na Rio siyo wa kutegemea kabisa.
Vida anarudi j5, Smalling na Jones wanaweza kumpa sapoti Vida. Ingawa pamoja na kuhitaji namba 6, tunahitaji namba 4 na 5 wa maana pia.
Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.
Wenyewe mtaa huu mko wapi? Niko bush nikadhani hapa nitapata updates kumbe hola!
mtotowamjini na mfarisayo hata ninyi mko kimya?
Tatizo hapa ni beki namba 4 (beki mkabaji) ndo hatuna kwa sasa, kazi ya beki 4 ni kucheza mipira yote ya hatari at first na ndo mana beki 4 huitwa dog figter, na kazi ya beki 5 ni kuclear na kucheza mipira ya hatari at second time baada ya beki 4 kupunguza makali ya hatari. Tatizo Evans na Rio wote ni mabeki 5 so lazima wachanganyane tu kozi wote si mabeki wakabaji.
Nasikia mnabebwa na mbeleko bahasha zinafanya kazi na mzee Fungie .. .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nasikia mnabebwa na mbeleko bahasha zinafanya kazi na mzee Fungie .. .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Leo wamekimbia vilaza hao...bado wanaweweseka na mzimu wa Michu.
Hamna timu mkuu Wacha utukutu bila brown envelopes na Jeshi la kukodi chijui mngekuwa wapi .. .. nyie ndio tunaita mashabiki koko HAMTAFIKA POPOTE MWAKA HUU ... .... TUTAPIGA HESABU MWEZI MAY .. ... .. KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
BTW ukiona Inzi wanaingia kwenye timu yako au kushabikia fahamu kuna uchafu na uvundo huko ndani ... ... .. ... ..
Hamna timu mkuu Wacha utukutu bila brown envelopes na Jeshi la kukodi chijui mngekuwa wapi .. .. nyie ndio tunaita mashabiki koko HAMTAFIKA POPOTE MWAKA HUU ... .... TUTAPIGA HESABU MWEZI MAY .. ... .. KHE KHE KHE KHE KHE KHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
BTW ukiona Inzi wanaingia kwenye timu yako au kushabikia fahamu kuna uchafu na uvundo huko ndani ... ... .. ... ..
Kawaida yao ndio njia pekee ya wao kujifariji
Mmezoea kubebwa
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mmezoea kubebwa
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naona bado una hangover ya Michuuuuuuu.
Tujifariji ki vipi? Mbona mnasahau mapema, mwaka jana mlikuwa mnamsema Judas vibaya na mwaka huu mnamtukuza chacha wakujifariji ni nani kama sio nyinyi ambao mnategemea bahasha zaidi?
Leteni matokeo basi ya kabumbu lenu ... .. . ... naona belo hana raha pale pressure inapanda na kushuka anachubiri kipenga cha mwisho .. ... wapi scores damn it! Au mnacheza netball leo?