Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata makocha 3 (Allegri + Morinyo + Acceloti) waajirie kwa pamoja kufundisha utd hawawezi kuirudisha man u kileleni otherwise wauze hizo takataka zote wasajili wachezaji wapya wakuanza nao
Unamzungumzia mourinho alieshinda europa na kashika nafasi ya pili ligi kuu ya uingereza au?

Mourinho peke yake aliiweza united isipokuwa bodi haina watu wa mpira
 
Unamzungumzia mourinho alieshinda europa na kashika nafasi ya pili ligi kuu ya uingereza au?

Mourinho peke yake aliiweza united isipokuwa bodi haina watu wa mpira
Bodi na hizo takataka, team yenu inahitaji reforms
 
4-3-3 inahitaji wachezaji waliokamilika katika kila nafasi. United haina wachezaji wa kaliba hiyo.
hata mourinho 4-2-3-1 ilimzamisha sijui kwa nini hawapend 4-3-3 wasajili tu viungo wa maana warudi ktk huo mfumo
 
It's another clean sweep for Liverpool in our combined XI, this time chosen by Jose Enrique!


Disagree? Let us know below...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…