D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ole gunnar solskjaer bado yupo yupo sana.Iwapo Ole atashindwa kupata ushindi kwa Liverpool
Huenda tukamuona Max alegri OT
Je ni mtu sahihi hapo OT?
4-3-3 ndio mfumo mzuri siku hizi ukipata kocha mzuri ,sijui kwa nini makocha wa hii timu wanashindwa kupambania huo mfumo ambao hata sir alex alikuwa akitumia na 4-4-2
Fergie mwenyewe kwenye mafanikio na akiwa na Right players tunacheza 4-3-3.sijui kwa nini makocha wa hii timu wanashindwa kupambania huo mfumo ambao hata sir alex alikuwa akitumia na 4-4-2
4-3-3 inataka midfield za kazi 3 maana zinatanuka, kwa man U ya sasa inahitajika usajilisi chini ya midfield 2 kucheza huu mfumo.4-3-3 ndio mfumo mzuri siku hizi ukipata kocha mzuri ,
Alegri kashajifunza English anasubiria kazi tu,
Ole alifanikiwa na 4-3-3 ,sasa hivi kakomaa na 4-2-3-1
Matip OUT, Handerson OUT... Maguire IN, Pogba IN.View attachment 1234570
hata mourinho 4-2-3-1 ilimzamisha sijui kwa nini hawapend 4-3-3 wasajili tu viungo wa maana warudi ktk huo mfumo4-3-3 ndio mfumo mzuri siku hizi ukipata kocha mzuri ,
Alegri kashajifunza English anasubiria kazi tu,
Ole alifanikiwa na 4-3-3 ,sasa hivi kakomaa na 4-2-3-1
Uzoefu kwa kumlinganisha na degea mkuu.We jamaa acha bangi Romeo hana uzoefu ?
Sasa Origi na Rashid nan ana uhakika wa kupata namba ..either Man u au Liverpool,.Utachekwa wewe au kwa kuwa liverpool kakuzibua unajikosha?
Sasa hio mizee aipeleke wapi nae akae nayo italy huko.Max Allegri 'is very close to Man United with deal worth over £6.5m a season being discussed' as former Juventus boss plans to bring Emre Can and Mario Mandzukic with him https://t.co/3KfZ1EXTsz
kumfukuza kocha kwa sasa ni ngumu pia kumfunga liverpool ngumu pia labda kwa kuwa wanasema mpira unadunda tupo vibaya sana
Alegri alifeli Ac Milan , lkn pale juve ana CV nzuri hata UCL kafika fainals mbili
Ni mzuri sana kusuka defence na midfield
Kama kipimo cha Ole kusalia kwenye club ndio hicho, basi ni bora aanze kuandaa mabegi.Iwapo Ole atashindwa kupata ushindi kwa Liverpool
Huenda tukamuona Max alegri OT
Je ni mtu sahihi hapo OT?
Fergie mwenyewe kwenye mafanikio na akiwa na Right players tunacheza 4-3-3.
Ile 4-4-2 original imepitwa na wakati sana labda diaomond kidogo inatumika sana.
4-3-3 inataka midfield za kazi 3 maana zinatanuka, kwa man U ya sasa inahitajika usajilisi chini ya midfield 2 kucheza huu mfumo.
Mfumo wa ole sijaupenda kabisa, inapotekea wachezaji wanategeategea, huwajaza wenzao kazi ngumu