Tukivuka nusu yetu tu,hatupigi pasi zaidi ya 2 mpira unaporwa.
Possession kubwa imetokana na back pass tu.
Sijui hata tunategemea nini toka kwenye hii game.
Ole walau kuamka kupiga kelele kuonyesha wanacheza kinyume na maelekezo yake au kubadilisha mbinu baada ya kuusoma mchezo, hakuna. Lakini kwenye interview utasikia "im so happy with the boys,we played real well with so much positivity and we are hoping to turn things around".