Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hah ni vituko.Ngoja Man city tuje tuwakamate ninyi.Nitakula papuchi hizooo
 
Unaangalia mechi huku unacheka tu,fair results kabisa dah aibu sana
 
Hahahahaha daaah united yangu inaumaaaaa ila inabidi ucheke tu....
Hahaha,tunajenga timu mkuu.Timu inajengwa chini ya kocha asiyeweza hata kumsoma mpinzani na akabadili mchezo.

Tunajengea timu chini ya kocha aliyeuza washambuliaji ili Rashford acheze kwa bila mawazo.

Chelsea wakiangalia mechi zetu na wakikumbuka zile nne wanalia sana, timu haina mbinu hamna ubunifu kabisa,haya kona wakipata zinapigwa hadi nje😂😂

Newcastle anatupiga na Liverpool anakuja kumaliza habari,Ole anatolewa kafara.
 
Sema haki ya nani bhana bhana, eeeh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…