Chong kalegea kweli yani hahaha hii timu ishajifia kama half time hatuna goli hata la offside tunafanya nini kwenye EPL shwain timu.
Masai tuachie timu yetu asee huna mpya kazi kuvaa suti tu kwa raha gani na litimu bovu bora avae track.
Hapa ndipo mnaponiacha , maana sisi tuna kituko emery , Yaan kama hatuna kocha, ila nyie nashangaa mnasema pia hamna kocha , wakati mm naona , Ole ana wachezaji wakawaida wengi ndio tatizo kuu ,
Chong kalegea kweli yani hahaha hii timu ishajifia kama half time hatuna goli hata la offside tunafanya nini kwenye EPL shwain timu.
Masai tuachie timu yetu asee huna mpya kazi kuvaa suti tu kwa raha gani na litimu bovu bora avae track.
Hapa ndipo mnaponiacha , maana sisi tuna kituko emery , Yaan kama hatuna kocha, ila nyie nashangaa mnasema pia hamna kocha , wakati mm naona , Ole ana wachezaji wakawaida wengi ndio tatizo kuu ,
Unai ni mwalimu mzuri, mwalimu unaweza kumuona hata kama ana wachezaji wabovu vipi. Kama ulitazama game yetu na West ham unaweza kuona tofauti ya mwalimu na mhamasishaji.