Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu haina mwalimu hii, unaweza kuona tofauti yetu na hao madogo. Madogo wana mwalimu.
Hapa ndipo mnaponiacha , maana sisi tuna kituko emery , Yaan kama hatuna kocha, ila nyie nashangaa mnasema pia hamna kocha , wakati mm naona , Ole ana wachezaji wakawaida wengi ndio tatizo kuu ,
 
Mihemko ya kumpa Ole timu itatumaliza😂😂

Timu inachezacheza tu hamna mipango. Hiyo Jumatatu Arsenal watatupigia kelele sana humu.
 
Hapa ndipo mnaponiacha , maana sisi tuna kituko emery , Yaan kama hatuna kocha, ila nyie nashangaa mnasema pia hamna kocha , wakati mm naona , Ole ana wachezaji wakawaida wengi ndio tatizo kuu ,
Unai ni mwalimu mzuri, mwalimu unaweza kumuona hata kama ana wachezaji wabovu vipi. Kama ulitazama game yetu na West ham unaweza kuona tofauti ya mwalimu na mhamasishaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…