Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliyetengeneza timu hakua Mou alikua Carlo Ancelot weka kumbukumbu vizuri mkuu

Baada ya kueka kumbukumbu vizuri kama ulivyotaka ni kwamba sikumaanisha kuwa Mou aliitengeneza Real peke yake kama alivyotengeneza nyumba yake.
Nilichomaanisha ni kuwa Mourinho nayeye Ndiyo katika wahusika wakuu walioijenga Real madrid iliyompa mafaniko Zidane:

Miongoni Wachezaji waliosajiliwa na Mourinho at Real Madrid

1) ANGEL DI MARIA
2) MESUT OZIL
3) SAMI KHEDIRA
4) RAPHAEL VARANE
5) LUKA MODRIC

Hao ndiyo msingi wa Kutengenea kwa Timu ya Real kupitia Jose Mourinho
Ingawa wengine waliondoka lakini tayari Real ilikwisha tengenezeka
 
Alikawa ni mkuu Radika huyo baadae Mc cane nae akajakumsaidia.
 
Nyongeza tu.
Raul Albiol
Fabio Coentrao
Cavalho
Pepe
Diego Lopez
Isco
Walisajiliwa na Mourinho pia
 
Jamaa ni mkweli, hajawah kucheza soka lolote la mafanikio, na alishasema wazi mambo ya mpira wa entertainment hana na Hawezi , yeye anachoangalia ni ushindi basi, mambo ya sjui ball possession hajali, Kwa sasa anahtaj timu yenye mkakati wa kuchukua makombe, Yani imejipanga kuchukua makombe na sio kumaliza sijui top 4 au six, zaidi ya hapo bora awe mtazamaji ...alivyo mjanja katulia Tu akijua ligi zikianza kuna makocha watasanda njiani na hapo ndo atakuwa more valuable.....
 
Ukweli ni kwamba kila mtu ana sababu yake ya kuweka mipasho, wewe sababu yako ni hiyo ya kumlipizia jamaa, hata wengine wana sababu zao

Anyway that's football, ni mambo ya kawaida kutupiana vijembe
 
Kuna watu wanaamini tunajenga team. Wengine wanaamini kuwa tuna wachezaji wanaowika Ulaya, kuna wengine wakitolea mfano kwa Fergie alivovuruga mwanzo na akafanikiwa kujenga empire na wanaamini Ole na yeye ndio njia yake.

Hao ni watu walioko usingizini. Team inawachezaji wa ovyo kabisa, haoa wanaodaiwa kuwika ulaya, out of manutd hawapati namba, na hapo walipo wanapata namba kwa sababu hakuna competition. Ole nae anasema anaona ile game ya jana ina positives, ataendelea kuimba nyimbo hio huku timu ikivuruga, hata akija Football director kama kocha ni OLE itakuwa ndio yale yale, jamaa aachie ngazi kiroho safi, hajui anafanya nini kwenye benchi la ufundi
 
Nimetia huruma wapi, mimi sio mtu wa style hiyo ya kutia tia huruma

Wewe ndio naona huwa unakuwa mkali sana, mambo yakiwaendea mrama, juzi tu mechi ya Napoli niliona comment zako unavyong'aka kwenye Uzi wenu
Hahahahahahahahah katika ambao huwa nawaonea huruma Manchester United ikifungwa ni wewe jamaa yangu unatiaga huruma sana.
 
Mpaka sasa jamaa anazidi kupanda thamani tu
Dunia ya leo unaona kabisa kocha anaeweza kupambana na pep ni mou only
 
Kwa iyo aseno nao wakitufunga atasema anaona positive
Jamaa kiazi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…