Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man Utd ana trophies 66

We baki ni vikombe uchwara vyenu

Kwanza Liverpool haijawahi kuchukua premier, yenyewe ni ligi daraja kwanza tu
TROPHY
Liverpool 43
Manchester United 42
It's official Liverpool are more success than Manchester United .
Endeleeni kupiga kelele tu.
 
Pathetic. Unaongelea Liverpool ya mwaka gani ndugu? Yani nowadays watu waache kutazama game ya Liverpool huko UEFA wakatazama ukicheza na Astana? Waache kutazama mpira wa maana wa Liverpool wakatazame legless rashfords? You still live in the past mzee? Au huwa unaenda kutazamia hizo games zako wapi??

Msimu uliopita Liverpool ndo ameongoza kwa Uingereza na dunia nzima kwa mapato kwa njia ya matangazo ya Televisheni kwa mechi za mpira. Sasa imekuaje na ingali haitazamwi? Na ikawaje mechi zake ndo zimerushwa nyingi kuliko timu zingine kwenye league?
wake up from the dead past, man!
 
Liverpool ambayo haitazamwi, mechi zake hazionyweshi, ndo hiyohiyo ambayo imekupiga gape kiasi hicho kwenye mapato on broadcasting. How mzee?
 
Na hii ni kwa dunia nzima!

 
Hawa jamaa ndio maana kwenye baadhi ya kumbi wapo 4, halafu mechi zikiwa nyingi game zao hazioneshwi

Utakuwa upo sahihi Kama umekusudia hazioneshwi Vibanda umiza pale mechi zinapokuwa Nyingi let's say kuna game:

Man United vs Midtable ...
Arsenal vs Midtable....
Liverpool vs Midtable...

Hapo kama TV wenyewe zilizopo kibandaumiza ni 2 basi game ya Liverpool haitooneshwa bali zitaoneshwa za Man & Arsenal (According to my experience kwenye Vibanda umiza nilivyotembelea na wala sizungumzii sehemu wanazokwenda wengine).

Lakini kuhusu Liverpool kuwa Broadcasted kwenye TV basi kwasasa (From takwimu za 2018/19) Liverpool ndiyo Timu inayoongoza EPL kwa mechi zake kuoneshwa kwenye TV kuliko Timu yoyote ile.
 
Mkuu uwe unasoma na kuelewa, wapi nimesema Liverpool haitazamwi kipindi hichi?

Hata juzi Liverpool ilivyotobolewa matobo mawili na VVD akitoa assist ya paundi milioni 75 tuliingalia. By the way, wewe hukuiangalia United Vs Astana and yet you are talking about the game


Umeweka orodha ya mapato ya msimu uliopita, sawa..... Tuwekee na orodha ya vilabu tajiri duniani basi na uchumi wao kiujumla. PATHETIC.

Old Trafford ni Anfields 2, fans base ya United mara 10 ya Liverpool, kila kitu cha United ni kikubwa kuliko cha Liverpool. Kwenye vibanda umiza mashabiki wa United 50,wa small club Liverpool wapo 5, huwa nawaonea huruma mechi zikiwa nyingi, game zenu hazioneshwi


Kinachowaumiza sana, hata katika kipindi kigumu/mpito, United anabadilishana namba na Madrid na Barca tu kwenye Forbes list


 

Mi naona mjadala wa liverpool ufungwe tu mkuu au ww wasemaje liverpool kwa sasa alichomzidi united ni uhakika wa kucheza champions league au natania bana hii mada tuifunge
 
68 mkuu af liver 66 fwatlia vzur

Aliyeanzisha Uzi wenu kaandika hivi:-

Manchester United Trophies:

1) League Tittles: 20
First Division/Premier

2) European Trophies: 6 (UCL 3, UEL 1, CWC 1 na USC 1)

3) FA Cup Trophies: 12

4) League Cup: 5

5) Community Shield: 21


21 + 6 + 12 + 5 + 21 = 64


Ndugu Namba zinaonesha Manchester United ana Makombe 64, Hayo 66 na 68 naomba nifahamishwe kayabeba Sayari gani??

Humu niliwahi kumchallenge Mtu kwa Topic kama hii ya Makombe 66 au 68 amabyo
'Washabiki Wa Manchester United Wanayaona Kwenye Links Tu Mitandaoni' Lakini uhalisia kwenye Club hayapo wala hayajawahi kuchukuliwa.

Naamini hapa utakuja na Link kunionesha kuwa Muna Makombe 66 na 68, Namimi nakubali hizo Link zipo Nyingi tu! Lakini nataka uhalisia tuende by Numbers ambayo itaonesha kuwa kweli munayo hayo Makombe 66 au 68?

Nakaribisha Challenges kwa yeyote anayetaka Kunichallenge juu ya idadi ya Makombe yenu.


Sipo hapa kubishana Nani ana Makombe mengi kuliko Mwenzake Coz Najua Man United ana Trophies nyingi Kuliko Liverpool! Bali nimepost kwa ajili ya Clarification tu kwa wale waliokuwa blindly brainwashed kuwa wana Makombe 66 au 68.

Liverpool by Numbers ana Makombe 61
 
Barcelona are interested in Manchester United teenager Angel Gomes, reports the Manchester Evening News
Gomes is in the final year of his contract at Old Trafford
 
Sasa baba kama mechi zikiwa nyingi hatuonyeshwi, imekuaje tunaongoza kwa amount of matches broadcasted? Na imekuaje tukaongoza kwa mapato ya broadcasting? Na hiyo timu yako yenye fan base kubwa ikawaje ikapitwa kutazamwa na kurushwa mara nyingi on tv tena kwenye English League?
 
Aisee timu za EPL zinapiga hela , pamoja na chama langu la North London kushiriki futuhi , lkn Barcelona , sijui kina juve ,baryen tumewapita mapato ...
 
Nadhani pale manchester tu akosa mshambuliaji kama Andy Carol au Christian Benteke. Nashauri kama Samatta akipatikana January tumchukue, Rashifodi ni level za kina kiiza.
 
Mkuu nakubaliana na wewe na wala hautanii
Mi naona mjadala wa liverpool ufungwe tu mkuu au ww wasemaje liverpool kwa sasa alichomzidi united ni uhakika wa kucheza champions league au natania bana hii mada tuifunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…