Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upya

Ktk makombe 13 rol uefa na club world cup huko kote na mech zote alikuwa akichezesha web hakika uefa na epl walitupendelea sana kama kila mech ilichezeshwa na web pia liverpool si timu ya kutisha liverpool ni spurs iliyochangamka
 
Hao uliowataja ndio wametupeleka UCL Final back to back na wamekupa UCL ya 6 wewe wako wamekupa nini mpaka sasa
 
Man Utd hawataweza kufika level za Liverkuku.... Sorry, ni Liverfools

Unajua kwanini?

Kwa sababu United ni klabu kubwa duniani


Man Utd hii hii inayotaka wachezaji wa kiingereza tu ?

HAhahhah

Sasa hivi mnamfukuzia Jadon Sancho ukiuliza sababu watakuambia kipaji ila sio kweli jibu ni kwa sababu Sancho ni mzawa

Fuatilia confirmed pursuits za dirisha lililofungwa mwezi uliopita kama sio 100% English players ndio mliokuwa mnawatafuta

That said kwa kukumbatia uzawa hamna uwezo wa kupambana kiubora na Chelsea na Manchester City clubs ambazo zinataka wachezaji wenye viwango sio wazawa kama klabu yenu

Hata Pep akiondoka Clubs za kizawa za Manchester United na Liverpool hazitakuwa kiushindani kushindana na Manchester City labda sheikh Mansour aweke kocha garasa pale Etihad
 
Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upya

Huu utabir huwaga sishiriki na ktk post zangu sinaga majibishano ya namna hiyo ya kitoto mpira ni dakika 90 hamnaga maneno ya mdomo ungekuwa ndio hivyo mech mliyocheza na chelsea iliyofungwa na united nyie mmecheza nayo dakika 120 mlisubir had peneti nafikir umepata jibu hapo hata norwich kamfumua city
 
Hahahahahahahahah Wewe jamaa nilishakwambia Manchester United hii ni kama kikundi cha kulia Msibani kwa sasa kinachopatikan Buguruni kwa Binti Madenge, Eti haka ka upepo kamewapuliza tu na nyie mbona hakawapulizi sasa hako ka upepo.

Taarabu sasa unaziweza balaa uwe unajidili mpira achana na meneno ya masutano
 
We kweli hujui mpira unajua Chelsea ina wachezaji wangapi wa kingereza, kina Barkley, Mount Abraham Kinana ,Tomori wote waingereza hao
 
Ajabu sana timu kama hii mshabiki wa liverpool anakwambia ili ishinde lazima awepo Web hapo kuna mchezaj wa dunia

Hebu tuone na kikosi cha liverpool cha mwaka huo wa 2008

Maana nakumbuka timu iliyokuwa na ubora huo kwa england ilikuwa chelsea
 
We kweli hujui mpira unajua Chelsea ina wachezaji wangapi wa kingereza, kina Barkley, Mount Abraham Kinana ,Tomori wote waingereza hao

We mashabik wa liverpool waachage tu toka waotee kwa uefa loo imakuwa tabu mjini sijui itakuwaje wakibeba epl
 

Wale ma captain wa liverpool ni wa spain mkuu
 
Kikombe alichokinywa LFC na Nyumbu mnaenda kukinywa tena zaid ya kile , usijiaminishe sana kua mtarud kwenye ubora wenu labda kina web wazaliwe upya

Hapo ni mbele tu tulikuwa tunamtegemea web

Bado kipa na wakina vidic hujataja ma scholes na ma giggs mnatia huruma hii mijadala ya soka kwenu migumu mmeteseka sana bado unakisingizio cha web? Au mpira ulikuwa unaangalizia live score na flash score kama ulikuwa unakwenda kutazama ungejua namna ronaldo alivyobeba tuzo ya uchezaj bora wa dunia na kwa nini alibeba kama refa alisaidia basi england raha
 

Mkuu MASAMILA umemkataa hadi trent?? 🤣🤣🤣 mna nini lakin liverpool?
 
K
KWA MARA YA KWANZA NIMEMUONA SHABIKI WA MANCHESTER UNITED NAE ANAANZA KUJIVUNIA HISTORIA maisha yamebadilika sasa.
 
We kweli hujui mpira unajua Chelsea ina wachezaji wangapi wa kingereza, kina Barkley, Mount Abraham Kinana ,Tomori wote waingereza hao
Na kweli sijui mpira nabwabwaja tu siku ziende

Umeona mazingira ya hao Waingereza walivyojikuta wakiichezea mpira Chelsea? Unafahamu Chelsea kabla ya ban ilikuwa na wachezaji wangapi mkoponi? Tammy,Mount Reece etc si walikuwa mkoponi hao na ban ya kusajili ndio imewapush kurudi Chelsea au

Waingereza Chelsea si wamejaa sasa hivi baada ya ban tena msimu huu au

Ningeomba uniambie strikers gani wa Chelsea chini ya Abramovic ambao ni Waingereza wazawa wa UK ambao unadhani labda labda ndio wametoa mchango kwa Chelsea kupata hizo EPL 5 katika muda ambao Liverpool haijachukua hata EPL moja
 
K

KWA MARA YA KWANZA NIMEMUONA SHABIKI WA MANCHESTER UNITED NAE ANAANZA KUJIVUNIA HISTORIA maisha yamebadilika sasa.

Naona umekurupuka hadi mwenyewe umekosa jibu unatengeneza topic yako

Hizo picha nimeweka mtu mwenye akili timamu aniambie hiyo safu ya ushambuliaji inahitaji usaidizi wa web?

Mnapojibu vitu muwe mnatuliza akili Web bado ni refa?

Ronaldo anachukuaje uchezaj bora wa dunia kwa kubebwa na refa?
 
Mkuu nakubaliana na wewe United hawataimarika kama watakuwa tu wanasajili sababu ya mtu kutoka Uingereza

Lakini je akiwa Muingereza na ana uwezo kuna shida gani kumsajili, je Sancho sio mzuri?
 
K

KWA MARA YA KWANZA NIMEMUONA SHABIKI WA MANCHESTER UNITED NAE ANAANZA KUJIVUNIA HISTORIA maisha yamebadilika sasa.

Nakazia tena soma upya hiyo post utajua ulichoandika ni ukurupufu huwa siandiki historia hapa ndio maana hamna tunazungumzia makombe 20 au 3 ila nyie mmekazana kila post 6 sasa hayo 6 mmechukua mwaka huu kama sio historia

Liverpool mashabik wengi mmepagawa baada ya kusota muda mrefu sana hata mnavyo tu quote ni lawama na matusi tu
 
Kwenye hiki kikosi kilichobeba UCL mwaka 2008 kilikuwa na Wahispaniola wangapi

Wageni hapo ni 4 tu, wote waliobaki ni English players
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…