OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Siongei kishabiki mkuu ..uyu Rashid kwa wastani wa mechi tatu/nne ndo anafunga goli moja ..tena labda itokee penati...sasa apo kufikisha goli kumi tano kwenye all competition na uhakika hafikishi ...sembuse EPL tu...Kwamba ktk mashindano yote rashford hawez kufikisha goli 15 ina maana tutakuwa tunapata ushindi wa timu pinzan kujifunga au mabek wetu kufunga magoli na sio rashford maana yeye na martial ndio wapo mbele sasa ktk mashindano yote rashford atashindwa? Ndio maana nikasema jamaa anaongea kishabik rashford ana uwezo wa kufikisha kwa sasa sioni kikwazo ni suala la muda
Apo ni Pobga na Bissaka ndo wataingia moja kwa moja kwenye fisrt XI ya chelsea, Uyu De gea itabid afait kuchukua namba ya Kepa, magwaya ni Zouma aliyechangamkaHata hivyo chelsea wana viungo wengi wa maana hii timu yetu inahangaika sana katikati hiv tunaamini huyo dogo wa chelsea ni bonge la striker kumzid rashford? Hapana rashford kisha tuonesha ni striker ambae hata mech kubwa unamuona ni mapungufu madogo aliyonayo kwa kuwa timu haina ushindani wa namba tu
Timu yetu ni kama kuna wachezaj wa 5 tu wanaweza kucheza chelsea na kuanza kuna muda kuhukumu wakina rashford kuwaonea maana haina wachezaj wazoef kama wa chelsea ambao wanaficha madhaifu ya wakina Abraham
Martial
Maguire
Pogba
De gea
Wan bissaka
Scott na rashford pia wanaweza ila kwa mwenendo wa timu yetu huwez kuwapa nafasi ya moja kwa moja huyo Abraham akija united lazima atahangaika tu
Wamepita wachezaj wa maana kwetu waneonekena magalasa kwa sababu ya mfumo tu
Fred akiwa shakhtar amecheza holding vizuri tu..Fred sio namba 6 .
pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.
Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.
Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
Mkuu ni msimu upi Rashiford alifikisha hata goli 11 au 12 tu achilia mbali 15.. nikumbushe tafadhaliHuo ndio ukweli
Wote tunatambua kwamba Rashy sio forward ambaye siku moja atakuja kupata golden boot, lakini hiyo haimaanishi kwamba hawezi kufikisha goli 15-20
Sasa Ollachuga yeye anaongea kishabiki tu
Pogba na Fred namba gani?Fred sio namba 6 .
pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.
Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.
Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
Unamaanisha alifikisha ama hajafikisha?Mkuu ni msimu upi Rashiford alifikisha hata goli 11 au 12 tu achilia mbali 15.. nikumbushe tafadhali
Kila la kheri Chelsea
Fred sio namba 6 .
pia PoGba sio namba 10 kamili kama wakina David Silva . ni rahisi sana kubanwa na asifanye chochote, kumbuka gemu na paris OT.
Kwakuwa hatuna options tunaweza kufanya hivyo, lakini sio long term.
Summer tunaweza kumuuza then tukaleta viungo wawili, no6 mithili ya kante na namba 10. Namba 8 tayari tunao (MCT na Fred-kama atabadilika).
Mazee tuwape Zouma kama tulivyowapa Arsenal Luiz
Mna Million 40 za chap chap apo..tumalize biashara..tunajua Zouma atawafaa sana ..
Kila la kheri Chelsea
Kwani miaka ya nyuma amefunga magoli mangapi? Tuseme ukweli Rash ni hyped playerUnajua formation wanayocheza wao miaka yote?
Kwani sasa hivi Rashy ni central striker? lakini amepewa leseni ya kuingia kati tofauti na formation za miaka ya nyuma
Kwani miaka ya nyuma amefunga magoli mangapi? Tuseme ukweli Rash ni hyped player
Ndio kwa maana ya B2B mid.Kwa ulivyowapanga wachezaji kwa hizi Namba, Unaonekana unatizama game za Manchester tofauti na tunayoijua sisi.
Unasema MCT ni namba 8 sio?
Msimu huu ni main striker. Mwenzake ana goli 7 tayari. Yeye anajiangusha kupata penalt. Hovyo sana.Hizi stats zinaweza kupotosha kwa kiwango flani, maana Lengo ni kuonesha nani yupo clinical kati ya hao wawili
Hayo magoli aliyopata Rashy (10) ameyapata akiwa anatokea pembeni, sio main striker lakini Tamy ni mshambuliaji wa kati
Hapa nataka tuwe fair kwa Rashy
Pogba angecheza nafasi ya Rashford angekuwa na magoli mengi kuliko Rashford kwa sasa.Hata hivyo chelsea wana viungo wengi wa maana hii timu yetu inahangaika sana katikati hiv tunaamini huyo dogo wa chelsea ni bonge la striker kumzid rashford? Hapana rashford kisha tuonesha ni striker ambae hata mech kubwa unamuona ni mapungufu madogo aliyonayo kwa kuwa timu haina ushindani wa namba tu
Timu yetu ni kama kuna wachezaj wa 5 tu wanaweza kucheza chelsea na kuanza kuna muda kuhukumu wakina rashford kuwaonea maana haina wachezaj wazoef kama wa chelsea ambao wanaficha madhaifu ya wakina Abraham
Martial
Maguire
Pogba
De gea
Wan bissaka
Scott na rashford pia wanaweza ila kwa mwenendo wa timu yetu huwez kuwapa nafasi ya moja kwa moja huyo Abraham akija united lazima atahangaika tu
Wamepita wachezaj wa maana kwetu waneonekena magalasa kwa sababu ya mfumo tu
Rashford akifikisha goli zaidi ya 20 msimu huu naacha kushabikia soka. Na humu siingii tena.Huo ndio ukweli
Wote tunatambua kwamba Rashy sio forward ambaye siku moja atakuja kupata golden boot, lakini hiyo haimaanishi kwamba hawezi kufikisha goli 15-20
Sasa Ollachuga yeye anaongea kishabiki tu
Rashford bonge la mbabaishaji, yaani wazembe wazembe anawafanya mbaya tofauti na Martial uzembee usizembee atakupiga tuRashford akifikisha goli zaidi ya 20 msimu huu naacha kushabikia soka. Na humu siingii tena.
Soma hapo juu, Chief ameweka stats za magoli yake
Ninakubali kuwa Rashy sio prolific goal scorer lakini sio mbovu kama wapinzani wake mnavyodai
Rashy anaweza kushindwa kukupa goli 25-30,lakini akipewa ruhusa na kocha ya kuingia kati kati (maeneo ya goli) ana uwezo wa kukupa magoli 15-25
Martial naye hivyo tu tena akiwa chini ya Ole.Rashford bonge la mbabaishaji, yaani wazembe wazembe anawafanya mbaya tofauti na Martial uzembee usizembee atakupiga tu
Punguza chuki dhidi ya Rashford.Pogba angecheza nafasi ya Rashford angekuwa na magoli mengi kuliko Rashford kwa sasa.
Huyu jamaa sio kama waingereza wanavyompa kichwa. He is too average.
Sijaandika mahali pogba Ni 10 Bali nimeandika midfield ya Kati kushoto kwenye 4-3-3 namba ambayo alikuwa anacheza juve.
Na Fred Ni kiungo mkabaji/wa katikati, ameshacheza Mara kibao Kama midfield anaekaa nyuma kwenye 4-3-3 akiwa na shakhtar, hata best perfomance ya Fred na jezi ya Man UTD ni akicheza alongside MC tominay kuliko akiwa na Matic.